kuseranasera
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 622
- 390
Unasema ikungi huko mbali hapa banana tupo gizani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidiTanesco kiukweli mnaturudisha nyuma sana kwenye maendeleo kama taifa, nilishakuja hapa kueleza masikitiko yangu kuwa hamjanitendea haki ktk suala la kupatiwa miundo mbinu , nilieleza mkaniambia mnalichukulia hatua lkn hizo hatua sijaziona au hatua zenyewe ni za kukaa kimya? Nimejaza fomu ya kupatiwa umeme toka januari fomu ikapotea ktk ofisi zenu nikajaza upya mwezi april lkn waty wa kuja kuservey walikuja mwezi jully na wakabainisha kuwa zinahitajika nguzo mbili wakaondoka lkn toka hyo siku hakuna kilichofanyika nikipiga simu ninapewa majibu ya kuridhisha tu kama mgonjwa aliepoteza matumaini ya kupona, je mahali sahihi ninapoweza kusimama na kutoa malalamiko yangu ni kwenu au tutafute jukwaa lingine ??? Ninaitwa OSCAR MKANDYA JOHN Nipo kitongoji cha Iseni kata ya Nyanzenda halmashauri ya Buchosa -Sengerema namba ya Simu 0768145634
Yani mnasema mmepokea kwa hatua zaidi lakini mpaka sasa , lalamiko langu sijaona hatua mliochukua, Mana tokea ni lalamike Ni wiki mbili sasa, naona mpo kimya.Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Taarifa mnapokea kila mara lkn kufanyia kazi inakuwa ngumu shida iko wapi?Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi