TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Nichukue nafasi hii kumpongeza waziri wa Nishati kwa kazi kubwa anayoifanya. Pia ni ipongeze wizara nzima na watendaji wake wote kwa ujumla.
Niende moja kea moja kwenye mada. Wakati wa ujuo wa Mh rais wa JMT, Dkt Magufuli kipindi cha kampeni, alikutana na kero ya watu wengi kutofungiwa umeme mjini Babati. Na katika kipindi hicho alitoa mwezi mmoja wa watu kufungiwa umeme. Tunashukuru agizo hilo lilifanyika na wengi kufungiwa umeme.
Tatizo lililojitokeza baada ya watu kufungiwa umeme, ni pale unapoenda Tanesco ili kupata control number kwa ajili ya malipo umeme wako unapokuwa umeisha ili uendelee kutumia mita yako, baadhi ya watumishi wa TANESCO wamekuwa na majibu yasiyo ya kupendeza. Kwanza wamekuwa wakisema ninyi ndio mlifungiwa umeme wa Magufuli, hivyo wanakusumbua kuwa Surveyor anahitajika kuja kwanza kwenye nyumba kuikagua, sasa mtu unajiuliza, umeme tayari ulifungiwa na ukatumia kwa kipindi fulani zile unit zilizopo za mwanzo, iweje sasa unapokatika uzungushwe kama haujawahi kuunganishiwa umeme. Pili basi hao Surveyors ambao ni muhimu, mbona hawafiki kwa wakati katika kuzikagua hizo nyumba na kuhakikisha kuwa watu hawalali na giza?. Je hakuna dalili za rushwa hapo watu wanajitengenezea. Tunaomba meneja wa TANESCO Mkoa ushughulikie kero hii. Kwa pamoja tunaweza.
Imetolewa na muhanga wa kuunganishiwa umeme baada ya tamko la Mh Rais, Mkoani Manyara.
 
Nichukue nafasi hii kumpongeza waziri wa Nishati kwa kazi kubwa anayoifanya. Pia ni ipongeze wizara nzima na watendaji wake wote kwa ujumla.
Niende moja kea moja kwenye mada. Wakati wa ujuo wa Mh rais wa JMT, Dkt Magufuli kipindi cha kampeni, alikutana na kero ya watu wengi kutofungiwa umeme mjini Babati. Na katika kipindi hicho alitoa mwezi mmoja wa watu kufungiwa umeme. Tunashukuru agizo hilo lilifanyika na wengi kufungiwa umeme.
Tatizo lililojitokeza baada ya watu kufungiwa umeme, ni pale unapoenda Tanesco ili kupata control number kwa ajili ya malipo umeme wako unapokuwa umeisha ili uendelee kutumia mita yako, baadhi ya watumishi wa TANESCO wamekuwa na majibu yasiyo ya kupendeza. Kwanza wamekuwa wakisema ninyi ndio mlifungiwa umeme wa Magufuli, hivyo wanakusumbua kuwa Surveyor anahitajika kuja kwanza kwenye nyumba kuikagua, sasa mtu unajiuliza, umeme tayari ulifungiwa na ukatumia kwa kipindi fulani zile unit zilizopo za mwanzo, iweje sasa unapokatika uzungushwe kama haujawahi kuunganishiwa umeme. Pili basi hao Surveyors ambao ni muhimu, mbona hawafiki kwa wakati katika kuzikagua hizo nyumba na kuhakikisha kuwa watu hawalali na giza?. Je hakuna dalili za rushwa hapo watu wanajitengenezea. Tunaomba meneja wa TANESCO Mkoa ushughulikie kero hii. Kwa pamoja tunaweza.
Imetolewa na muhanga wa kuunganishiwa umeme baada ya tamko la Mh Rais, Mkoani Manyara.
Tunakuomba radhi sana mpendwa mteja wetu, Tafadhali tusaidie namba yako ya simu tufatilie na kufanyia kazi swala lako

Huduma kwa Wateja
TANESCO MAKAO MAKUU
 
Mshatukatia umeme sasa hivi Morogoro Manispaa na sio mara moja hivi ni mgao hama ni nini embu tupeni info ?
 
Siku hizi mnakata umeme mara kwa mara,, kwa siku umeme unakatika na kurudi zaidi ya mara kumi! kuna shida gani?
 
Pale Tandale nyumba nyingi zimevunjwa ikiwemo yangu,sasa wamekuja watu wakijidai kutoka Tanesco na kung'oa mita yangu wakishirikiana na s/mitaa
Nimefuatilia Magomeni wanadai hawafamu jambo hilo
Nifanyeje
1) Nipate ile au nyingine
2) Kuzuia hao wezi/vishoka kumuuzia mtu mwingine
TANESCO
 
Pale Tandale nyumba nyingi zimevunjwa ikiwemo yangu,sasa wamekuja watu wakijidai kutoka Tanesco na kung'oa mita yangu wakishirikiana na s/mitaa
Nimefuatilia Magomeni wanadai hawafamu jambo hilo
Nifanyeje
1) Nipate ile au nyingine
2) Kuzuia hao wezi/vishoka kumuuzia mtu mwingine
TANESCO
Chukua polisi loss report kwanza andikia barua kwenda TANESCO ifikishe pale Magomeni Usalama tutaifanyia kazi
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Asante
 
Naomba kujua ili kubadirishwa tarrif ni taratibu gani zinafatwa
Muhimu sana kuzingatia haya;
1. Uwe mteja mdogo haswa kijijini
2. Kusiwe na biashara yoyote ( hata kupangisha nyumba)
3. Anaomba awe mmiliki wa nyumba na sio mwakilishi
4. Matumizi yawe chini ya unit 75 kwa wastani wa miezi 3 hadi 6
5. Isiwe imewahi kubadilishwa tarrif toka ifungwe
 
Muhimu sana kuzingatia haya;
1. Uwe mteja mdogo haswa kijijini
2. Kusiwe na biashara yoyote ( hata kupangisha nyumba)
3. Anaomba awe mmiliki wa nyumba na sio mwakilishi
4. Matumizi yawe chini ya unit 75 kwa wastani wa miezi 3 hadi 6
5. Isiwe imewahi kubadilishwa tarrif toka ifungwe
Kwahyo mita inapobadirishwa daraja mteja anapea taarifa au inakuwaje.mfano ukibadirishwa kutoka kwa watumiaji wadogo kwenda wakati.
 
Nichukue nafasi hii kumpongeza waziri wa Nishati kwa kazi kubwa anayoifanya. Pia ni ipongeze wizara nzima na watendaji wake wote kwa ujumla.
Niende moja kea moja kwenye mada. Wakati wa ujuo wa Mh rais wa JMT, Dkt Magufuli kipindi cha kampeni, alikutana na kero ya watu wengi kutofungiwa umeme mjini Babati. Na katika kipindi hicho alitoa mwezi mmoja wa watu kufungiwa umeme. Tunashukuru agizo hilo lilifanyika na wengi kufungiwa umeme.
Tatizo lililojitokeza baada ya watu kufungiwa umeme, ni pale unapoenda Tanesco ili kupata control number kwa ajili ya malipo umeme wako unapokuwa umeisha ili uendelee kutumia mita yako, baadhi ya watumishi wa TANESCO wamekuwa na majibu yasiyo ya kupendeza. Kwanza wamekuwa wakisema ninyi ndio mlifungiwa umeme wa Magufuli, hivyo wanakusumbua kuwa Surveyor anahitajika kuja kwanza kwenye nyumba kuikagua, sasa mtu unajiuliza, umeme tayari ulifungiwa na ukatumia kwa kipindi fulani zile unit zilizopo za mwanzo, iweje sasa unapokatika uzungushwe kama haujawahi kuunganishiwa umeme. Pili basi hao Surveyors ambao ni muhimu, mbona hawafiki kwa wakati katika kuzikagua hizo nyumba na kuhakikisha kuwa watu hawalali na giza?. Je hakuna dalili za rushwa hapo watu wanajitengenezea. Tunaomba meneja wa TANESCO Mkoa ushughulikie kero hii. Kwa pamoja tunaweza.
Imetolewa na muhanga wa kuunganishiwa umeme baada ya tamko la Mh Rais, Mkoani Manyara.
Hili bado halijafanyiwa kazi
 
Tanesco (w)Ilala shida ipo wapi kila uchao umeme kukatika kulikoni kama kuna maboresho au marekebisho mbona hatuonani matangazo ili watu wajipange namna ya kuhifadhi bidhaa zilizo kwenye mafriji ili hasara isiwepo?
Natanguliza shukrani kama nitapata majibu mema
 
Kariakoo kila uchao giza leo mtaa wa lindi kesho mtaa mwingine kama kuna mgao semeni watu wanapata hasara pia kama ni matengenezo (maboresho) pia tuambiwe kumbukeni Ilala ndo jiji na linatakiwa kuwa mfano bora kwa miundombinu haswa Umeme
 
Msaada wa haraka, natumaini nitasaidika nyumba yetu imezima umeme yenyewe mita ni ya kwenye nguzo units zipo ni kwamba umeme hautoki kwenye mita. Kupata token za kufungulia ni hadi jumatatu ofisi za tanesco zikiwa wazi, kwa kuwa matumizi ya umeme ni muhimu haswa weekend tunaomba mtusaidie namba ya mita ni 24212097125 TANESCO
 
Msaada wa haraka, natumaini nitasaidika nyumba yetu imezima umeme yenyewe mita ni ya kwenye nguzo units zipo ni kwamba umeme hautoki kwenye mita. Kupata token za kufungulia ni hadi jumatatu ofisi za tanesco zikiwa wazi, kwa kuwa matumizi ya umeme ni muhimu haswa weekend tunaomba mtusaidie namba ya mita ni 24212097125 TANESCO
Namba hizi hazitumwi mpaka wataalamu wetu wafike kwako tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Namba ya taarifa
 
Nanunua umeme inakataa inarudisha ujumbe kuwakilisha there are pending key change needed to be printed, nini tatizo?
 
Back
Top Bottom