TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Kahama nyakato,mbulu na Mwendakulima mmekata umeme mida hii na ratiba haionyeshi kukata Leo mnafeli wapi nyinyi
 
Habari tanesco niliomba kubadilisha tarrif kwa ofisi ya kisarawe na ofisi iliyohamishiwa chanika naambiwa itabadilishwa lakini mpaka wa leo naona hola.

Namba ya mita 24219382546 jina Andrea donati mkazi wa nyeburu buyuni.

Naombeni msaada wenu maana vigezo ninavyo
 
Ni shirika pekee la kutoa huduma ya nishati ya umeme kisheria ndani ya JMT.Shirika hili kiasi fulani kwa upande wangu naoma linajitahidi sana kwa kutoa huduma japo malalamiko kamwe hayawezi kuisha kwani sehemu ya yoyote ile ya kutoa huduma,TANESCO ina changamoto zake, kwa hiyo tuzivumilie tu japo hazitaisha lakini zitapungua sana tu. Ni kweli serikali yetu chini ya jemedari wetu mkuu mheshimiwa SSH inapambana sana kuisadia TANESCO na mashirika mengine ya serikali ili yaweze kutoa huduma kwa watanzania wote.

Changamoto zilizopo kwenye mashirika na idara nyinginezo za serikali ni nyingi sana japo serikali inajitahidi sana tena sana kuzitatua lakini hii ya TANESCO inaonekana ni kubwa sana kwani matokeo yake yanaonekana hata kwa mtoto mdogo.Tatizo kubwa kwa TANESCO yetu ni uchakavu mkubwa wa miundo mbinu ambao husabisha upotevu mkubwa wa umeme pindi unapo zalishwa,kusafirishwa hadi kumfikia mlaji wa mwisho ambaye ni mtumiaji yaani mimi na wewe pamoja na uhujumu mkubwa wa miundo mbinu kama vile wizi wa umeme unaofanywa na baadhi yetu sisi watanzani.

Kwa hiyo tuwe wavumilivu sana tu naamini ipo siku TANESCO YETU ITASIMAMA VIZURI,KWANI SERIKALI YETU SIKIVU INALIFANYIA KAZI JAPO ITACHUKUA MUDA KWANI KAPU KUU LINAJITAHIDI SANA KUHUDUMIA SHUGHULI NYINGI SANA ZA SERIKALI IKIWEMO TANESCO YETU NA KUMBUKA PIA SERIKALI YOYOTE ILE DUNIANI INAENDESHWA NA KODI.EWE MTANZANIA LIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU
 
We Ndugu Tanesco kwani hujui namna ya kuhariri bandiko lako? Si ungehariri tu bila kujinukuu mwenyewe…
Hii inadhihirisha unajibiwa na watu ambapo typing error zinaweza kutokea, tunashukuru kwa ushauri wako
 
Ni shirika pekee la kutoa huduma ya nishati ya umeme kisheria ndani ya JMT.Shirika hili kiasi fulani kwa upande wangu naoma linajitahidi sana kwa kutoa huduma japo malalamiko kamwe hayawezi kuisha kwani sehemu ya yoyote ile ya kutoa huduma,TANESCO ina changamoto zake, kwa hiyo tuzivumilie tu japo hazitaisha lakini zitapungua sana tu. Ni kweli serikali yetu chini ya jemedari wetu mkuu mheshimiwa SSH inapambana sana kuisadia TANESCO na mashirika mengine ya serikali ili yaweze kutoa huduma kwa watanzania wote.

Changamoto zilizopo kwenye mashirika na idara nyinginezo za serikali ni nyingi sana japo serikali inajitahidi sana tena sana kuzitatua lakini hii ya TANESCO inaonekana ni kubwa sana kwani matokeo yake yanaonekana hata kwa mtoto mdogo.Tatizo kubwa kwa TANESCO yetu ni uchakavu mkubwa wa miundo mbinu ambao husabisha upotevu mkubwa wa umeme pindi unapo zalishwa,kusafirishwa hadi kumfikia mlaji wa mwisho ambaye ni mtumiaji yaani mimi na wewe pamoja na uhujumu mkubwa wa miundo mbinu kama vile wizi wa umeme unaofanywa na baadhi yetu sisi watanzani.

Kwa hiyo tuwe wavumilivu sana tu naamini ipo siku TANESCO YETU ITASIMAMA VIZURI,KWANI SERIKALI YETU SIKIVU INALIFANYIA KAZI JAPO ITACHUKUA MUDA KWANI KAPU KUU LINAJITAHIDI SANA KUHUDUMIA SHUGHULI NYINGI SANA ZA SERIKALI IKIWEMO TANESCO YETU NA KUMBUKA PIA SERIKALI YOYOTE ILE DUNIANI INAENDESHWA NA KODI.EWE MTANZANIA LIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU
Miaka karibu 50 toka shirika lianzishwe wameshindwa tatua tatizo

Labda wapewe miaka 90 mingine ndio wataweza mkuu



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Habari tanesco niliomba kubadilisha tarrif kwa ofisi ya kisarawe na ofisi iliyohamishiwa chanika naambiwa itabadilishwa lakini mpaka wa leo naona hola
Namba ya mita 24219382546 jina Andrea donati mkazi wa nyeburu buyuni
Naombeni msaada wenu maana vigezo ninavyo
Naona mnaruka jibuni hapa kwanza
 
Back
Top Bottom