Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
@TANESCO tushasema ofisi yenu ya NYAKATO MWANZA MANISPAA YA ILEMELA IACHE RUSHWA KWA WAFANYAKAZI WENU NA MTUFUNGIE UMEME acheni majibu ya kifala mnakera sana kama mlijua hamna uwezo wa kutufungia umeme kwa wakati kwa nini mlichukua 27,000/ zenu tangu mwaka 2021 huu mwezi wa 4 unaisha sasa hakuna huduma ya kutufungia umeme [emoji34][emoji34]Tafadhali onesha
Jina
Eneo
Wilaya
Simu
Umelipia lini
Kwa hatua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app