TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hongereni kwa kuweka mazingira wezeshi ya kuwasilisha kero na maoni ama ushauri wetu. Nependa kuwapa kero iliyokithiri ya kuwekewa nguzo tu miaka takribani mitatu bila nyaya mpaka wa leo. Eneo husika ni (Nkilizya viunga vya Nansio Ukerewe mkoani Mwanza). Hadi watu wanadhani kwa kuwa kwa wakubwa (Mkuu wa wilaya, Msekwa n.k) umeme upo wengine mnaona wakae tu wakifarijika kwa kuzitazama nguzo. Shule zote ( nkilizya sec + primary) hazina umeme ni nguzo tu bila nyaya miaka yote hiyo. Hili tatizo limezidi kuwa kero kwa watu wakati ni rahisi tu huduma hii ya nyaya kusambazwa.
ndugu mteja, asante sna kwa pongezi
tusaidie taarifa zako sahihi kwa ajili ya ufuatiliaji
1. jina kamili
2. namba ya simu
3. eneo lako
 
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
MREJESHO

Nashukuru ombi langu limefanyiwa kazi.

Jana, Jumatano, 03/08/2022 mafundi wa Tanesco walifika na kuniunganishia umeme.

Asante sana TANESCO, asante sana Jamii Forums.
 
Watu tumelipia Mita tayari lakin umeme wamefungiwa watu wawili tu eneo zima mwezi wa pili sasa, mkipigiwa simu mnatupiana mpira tu shida nn nyie😡
 
HABARI za kazi ndugu watendakazi wa Tanesco specifically wa Dodoma na Kongwa nina haja ya kujulishwa hili.

Nimefanya application ya kuwekewa umeme pale kwetu kijiji cha Mlali Iyegu na ombi langu kupewa namb 2907220636 , nikiambiwa kuwa Mkandarasi aliyesajiliwa atafika aweke taarifa za wirering na kuwasilisha TANESCO.

Mkandarasi alikamilisha taarifa na kuziwasi
 
HABARI za kazi ndugu watendakazi wa Tanesco specifically wa Dodoma na Kongwa , nina haja ya kujulishwa hili . Nimefanya application ya kuwekewa umeme pale kwetu kijiji cha Mlali Iyegu na ombi langu kupewa namb 2907220636 , nikiambiwa kuwa Mkandarasi aliyesajiliwa atafika aweke taarifa za wirering na kuwasilisha TANESCO. Mkandarasi alikamilisha taarifa na kuziwasi
Panga hoja yako vizuri hasa mwishoni.
 
HABARI za kazi ndugu watendakazi wa Tanesco specifically wa Dodoma na Kongwa , nina haja ya kujulishwa hili . Nimefanya application ya kuwekewa umeme pale kwetu kijiji cha Mlali Iyegu na ombi langu kupewa namb 2907220636 , nikiambiwa kuwa Mkandarasi aliyesajiliwa atafika aweke taarifa za wirering na kuwasilisha TANESCO. Mkandarasi alikamilisha taarifa na kuziwasi
Shida yako inafanana na yangu.
Mimi nimefanya application ya kuwekewa umeme kupitia Namba ya kumbukumbu ya malipo 991033634676
Na nimeshalipia ile hela yao.

Wiring na chuma cha kupokelea umeme vipo tayari ila huyo fundi wa kuja kuweka mita hajafika hii wiki sasa.
Nyumba ipo kwamtoro ,wilaya ya chemba.

TANESCO dodoma wana shida.
Ukipiga simu hii 0789844078 ya TANESCO CHEMBA wanakupiga sound hatari.

Sasa sijajua wanataka wapewe hela ndo waje kufunga mita. Hili shirika zuri ila lina watendaji wa ajabu sana huku chini.
 
Shida yako inafanana na yangu.
Mimi nimefanya application ya kuwekewa umeme kupitia Namba ya kumbukumbu ya malipo 991033634676
Na nimeshalipia ile hela yao .
Wiring na chuma cha kupokelea umeme vipo tayari ila huyo fundi wa kuja kuweka mita hajafika hii wiki sasa.
Nyumba ipo kwamtoro ,wilaya ya chemba.
TANESCO dodoma wana shida.
Ukipiga simu hii 0789844078 ya TANESCO CHEMBA wanakupiga sound hatari.
Sasa sijajua wanataka wapewe hela ndo waje kufunga mita.
Hili shirika zuri ila lina watendaji wa ajabu sana huku chini.
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Huku kwa Kijiji Cha kisholo tarafa ya vikindu wilayani mkuranga hakuna nguzo hata moja
 
Habari zenu Tanesco,mie mkazi wa Dar ilala,eneo ni mchikichini karibu na soko la Sambusa,tangu jana tarehe 6/7/2022 saa nane mchana hatuna umeme takribani nyumba zaidi ya elfu mbili, namba ya taarifa ni 256648,
Tanesco laiti mngelipata ushindani nyie kama yalivyo makampuni ya simu hakuna mtu ambae angebaki nanyie, mnatulazimisha tu kuwa na nyie, kiukweli yaani ni kero sana kutokuwa na umeme eneo ambalo ni mita chache tupo karibu na Ikulu ya rais, kama sie tulio Dar tunakalishwa ivyo je mtu aliye uko Mtwara inakuwaje.

Mkurugenzi Tanesco Bwana Maharage chande meseji hii ikufikia kero ya umeme imezidi watumishi wa chini yako ni mizigo.
 
Nikonekt Sasa unaweza kupata huduma za TANESCO kupitia Nikonekt APP, Nikonek.tanesco.co.tz au USSD kwa kubofya *152*00# , Nikonekt kilichobora zaidi kutoka TANESCO. Kwa maelezo zaidi tupigie 0748550000

TANESCO Tunayaangaza maisha yako
Hamuangazi maisha ya watu bali mnawaingiza watu gizani.......nimetoa taarifa kwenu tangu tarehe 6/7/2022 namba ya taarifa ni hii 256648,halafu uje hapa uniambie hayo maisha mnayoangaza ni maisha ya watu wa wapi,
 
HABARI za kazi ndugu watendakazi wa Tanesco specifically wa Dodoma na Kongwa , nina haja ya kujulishwa hili . Nimefanya application ya kuwekewa umeme pale kwetu kijiji cha Mlali Iyegu na ombi langu kupewa namb 2907220636 , nikiambiwa kuwa Mkandarasi aliyesajiliwa atafika aweke taarifa za wirering na kuwasilisha TANESCO. Mkandarasi alikamilisha taarifa na kuziwasi
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
 
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
Hello!! Umeme kwangu umekata tangu asubuhi lakini kwa majirani upo unawaka. Kwenye remote inanionesha ki emoji che hasira na alama za switch ziko parallel.

Nimepiga simu nimeambiwa mafundi watakuja lakini hofu yangu ni kukosa pesa leo.
 
Hello!! Umeme kwangu umekata tangu asubuhi lakini kwa majirani upo unawaka. Kwenye remote inanionesha ki emoji che hasira na alama za switch ziko parallel. Nimepiga simu nimeambiwa mafundi watakuja lakini hofu yangu ni kukosa pesa leo.
Ndugu mteja,
Tusaidie namba ya taarifa uliopewa baada ya kuripoti kwenyw namba yetu ya kituo cha miito ya simu 0748550000
 
TANESCO mimi ni mkazi wa mwanza wilaya ya nyamagana mtaa wa mwananchi nahudumiwa na kituo chenu cha nyakato.

Tangu tarehe 5 June nimetoa taarifa ya emergency ya nguzo iliyooza na imedondoka, bahati nzuri ipo karibu na mti kwahiyo imeegemea mti ndio maana haijafika chini, namba ya taarifa ni 0707.

Mafundi walikuja tarehe 8 June wakaiangalia angalia then wakaniambia wataibalisha, ila ikipita wiki kama itakua bado hawajaibadilisha niwakumbushe kwa kutoa tena taarifa.

Bahati mbaya kweli wiki ilipita na nguzo haikubadilishwa nikatoa tena taarifa tarehe 18 June, simu alipokea mdada akaniambia taarifa imefika na itafanyiwa kazi.
Tangu siku hiyo sijaona fundi yeyote wa tanesco na nguzo bado inaning'inia.

Tarehe 6 August nikatoa tena taarifa kwenye banda la tanesco nanenane, nikiwa hopo bandani wahudumu walipiga simu kwenye kituo chenu na kuulizia taarifa yangu. Taarifa yangu ilikuepo na taarifa ya mafundi waliokuja kuiangalia nguzo pia ilikuepo, nikaahidiwa tena kwa mara ya tatu kua tatizo litashughulikiwa leoleo.

Hadi nimeamua kupost hapa kwenye thread yenu ni kwamba tatizo halijashughulikiwa na mbaya zaidi nguzo inazidi kuinama. Maybe hadi patokee janga ndio mtaibadilisha.

Ni kitu cha ajabu sana mtu unatoa taarifa ya emergency mara zaidi ya tatu halafu inapita miezi almost miwili bila tatizo kutatuliwa.

Tafadhali TANESCO kuweni wawajibikaji shughulikieni hili swala.
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Shida yangu ni swala la umeme KUKATIKA na kuwaka kila dakika Moja hasa hasa kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku, cha ajabu kwa majirani zangu umeme unawaka mda wote tena ambao wamefungiwa umeme mbele yangu, kama ni shida ya hizi MITA mpya iweje mteja ambae amefungiwa umeme miezi sita baada yangu kwake umeme usikatike na kwangu ukaitke wakati nategemea mita zetu zitakuwa sawa?

Kweli maaeneo yetu inasemekan kuna kuwa na Low voltage kwa mida hiyo lakini kwani kwangu tu? Nawezaje kubadilishiwa aina hii ya MITA? Nawasilisha kwenu TANESCO
 
Umeme KUKATIKA kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku, kama ni swala la aina ya MITA mbona kwa majirani zangu umeme kwao unawaka Mida hiyo?

Nilijaribu kufatilia TANESCO wakaniambia kuna tatizo la Low voltage maeneo yangu, na aina ya miter yangu inakata umeme pindi umeme unapokua mdogo,sawa mbona kwangu tu na wengingine upo? Na tumipishana within 2 month kuwekewa umeme?

Je kama ni kubadilishiwa aina ya MITA naomba msaada, kwani tatizo hili tangia nimeliripotia ni zaidi ya 6 month hakua mrejeaho
 
Back
Top Bottom