Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
TANESCO Huduma kwa wateja, Makao Makuu, tarehe 27Nov 2022 alasiri, wateja wa Lumo, barabara ya Forkland,tumepata kadhia ya kuwa na umeme hafifu-Low voltage na baadhi ya nyumba umeme ume katika kabisa kwa mfano mita 37220069415.Tulitoa taarifa jana saa 1.30 usiku na kuahidiwa kuletewa mafundi, kurekebisha, lakini mpaka hivi sasa mafundi hawajafika eneo la tukio.Au shirika linasubiri mpaka patokee maafa ndiyo Mkurugenzi Mkuu na Waziri mwenye dhamana ya umeme ndiyo muunde tume kuchunguza ajali, miaka 60 ya Uhuru watendaji hawawajibiki,mnataka hata suala hili Rais aingilie Kati.Wahusika wajitafakari.Achane umangimeza
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app