usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
MhhhhNdugu tanesco
Je, Ni kweli gharama za kufungiwa umeme zimenipanda?!
Kutoka 321000(bila nguzo)
Mpaka 500000(bila nguzo (?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhhhhNdugu tanesco
Je, Ni kweli gharama za kufungiwa umeme zimenipanda?!
Kutoka 321000(bila nguzo)
Mpaka 500000(bila nguzo (?!
😀😀😀😀 Huyo survey kweli n hatariNahitahi kufahamu , kwa sisi tuliopitiwa na line kubwa then tumekosa huduma ya kupata umeme wenu, nini kifanyike kupata huduma ya umeme.
Kibaya zaidi tumelipia na form zenu zile za online , then akatumwa surveyor..alitumwa ametuambia hakuna umeme tutapata.
Ni nini kifanyike hapo?
Ndugu MtejaNahitahi kufahamu , kwa sisi tuliopitiwa na line kubwa then tumekosa huduma ya kupata umeme wenu, nini kifanyike kupata huduma ya umeme.
Kibaya zaidi tumelipia na form zenu zile za online , then akatumwa surveyor..alitumwa ametuambia hakuna umeme tutapata.
Ni nini kifanyike hapo?
Ndugu Mtejatatizo kubwa ndani ya TANESCO kuna vidudu mtu wengi na hao ndio wanao hujumu Shirika.
wapo baadhi ya watendaji katika shirika wanahujumu kwa maksudi jitihada za Serikali katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika.
kuna miungu watu wachache ambao wanatakiwa wasafishwe kabisaaa, waziri aliyepo kajitahidi sana kusafisha lakini bado baadhi wapo.
kuna wahujumu wa mali za shirika, kuna wahibifu wa miradi yaani wapiga dili ndani ya shirika.
watumishi/watendaji wa TANESCO nchini tafadhali badilikeni, kuweni wazalendo kwa taifa lenu.
Mpo serious kweli TANESCONdugu Mteja
Tafadhali zingatia kula gharama hizi hazijabadilika toka mwaka 2016
Ahsante sana
Ndugu MtejaUmeme WA 5k ni unit 8 wazee alafu hata makato apo hayaelewek
Name:TANESCO
MeterNo:
Receipt:
Units: 8.4
Token: 9056 8882 3947
Amount:TSh 2459.02
Tax: VAT 18% TSH 442.62 EWURA 1% TSH 24.59 REA 3% TSH 73.77 Total Tsh 5000.
Ref: EC101599108039
2022-12-10 19:04:21
44100116480Ndugu Mteja
Tafadhali onesha namba ya mita kwa maelezo zaidi
Jamaa waje kurekebisha fridgeNipo mkoa wa kagera, bukoba mjini, kata kitendaguro, mtaa kagemu, kuna tatizo gani maana hapa nyumbani fridge guard haiwaki inaonyesha taa nyekundu tu.. ikiashiria power surge tafadhali toeni msaada maana bidhaa kwenye freezer zinaharibika,..
Mkuu fridge haina shida ni umeme wao ndo unasababisha fridge guard kujikata yaan kudisconnect fridge na mains... sijui kama umeelewa....au to make it clear kuna power surges ambazo likely zinaanzia power station...Jamaa waje kurekebisha fridge
NAKAZIA HAPA....TANESCO ndio chanzo cha umaskin Tanzania , biashara za watu zinaharibika kwa kukata umeme saa 6 usk bila taarifa