mchokozi mpende
Member
- Sep 10, 2018
- 36
- 42
Jamani TANESCO kuna shida gani huku Chamaazi kwa mapunda kila siku for almost a month mnakata umeme mama 6 Mara usiku hatuna umeme na hata Sasa naandika hapa hatuna umeme na hamsemi shida ni nn ...no notes mnakata Mara ghafla unarudi tena ...semeni shida ni nn na kwann ni hapa tu kwa mapunda