TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
1. MWANZA hakuna umeme
2. Moshi Kilimanjaro hakuna umeme
3. Geita , Katoro hakuna umeme
4.
5.
 
Toka nme fika Mwanza apa ni mwendo wa wakate mchana walete usiku .kesho yake waache mchana usiku wakate ..trash
 
Mkuu punguza hasira, ndani ya dakika 15 umesharusha makombora ya nyuklia 2!
Screenshot_2024-01-27-20-31-24-793_com.android.chrome-edit.jpg
 
Back
Top Bottom