Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Mkoa nilipo hatujawahi kuwa na mgao, wanasema ni sababu hakuna viwanda vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanesco ni mastriker wazuri sana tena wanapiga hamsa,hamsa halafu wanauliza ngapiii hukooo🤸♂️🤸♂️😝Giza tupu. Tanesco mlaaniwe mpigwe na shoti ya umeme wenu
Navalonge swela 😂Iringa , wilaya iringa mjini hamna umeme muda huu
Mufindi yote mpaka makambako hakuna umemeIringa , wilaya iringa mjini hamna umeme muda huu
Ile ni mitambo complex, hata mshituko mdogo tu inajizima, yaani watu wanataka iendelee kuwaka ili wamulikie magimbi yao, halafu iungue nchi ipate hasara ya mabilioni.Ni hatari gani iyo unaingolea Mkuu ?
Anayo haki ya kukasirika yeye kama mlipa kodi na raia wa nchi hii.Mkuu punguza hasira, ndani ya dakika 15 umesharusha makombora ya nyuklia 2!
View attachment 2884861
Kalemani yuko wapi siku hizi!Giza tupu. Tanesco mlaaniwe mpigwe na shoti ya umeme wenu
Anayeuza umeme ana uhaba wa umeme.
Mwanza umeme Upo. Wewe Uko mwanza ipiMwanza..
Giza totoro.
We can't even enjoy mapumziko yetu ya mwisho wa wiki.
Nyamoro, pasiasi, Kona ya bwiru ....Mwanza sehemu gani