Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme kama Tanesco wange mpa kila mtu (Kaya)umeme bila gharama za nguzo Tanzania,Tanesco ingekuwa inaingiza mabilioni ya fedha kutokana na token na Selikali wizara ya,ardhi ingepata kodi ya kila ardhi inayomilkiwa kwa matumizi ya Maya,Kuaanda,biashara nk.Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Kwa haraka haraka ukiwa na 1.2m unamaliza Kwa Ile bei Yao ya kawaida ambayo nguzo moja hua wanasema n 370kHabari wadau,naomba kujua gharama ya kuvuta umeme kwa eneo linalohitaji nguzo 4 ni shilingi ngapi kwa nguzo moja?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Upo upande gani mkuuTANESCO kama kweli mnajali wananchi TUPENI MREJESHO kwanini MNAKATA UMEME NA KUWASHA ZAIDI YA MARA 5 MPK 6 KWA SIKU KTK ENEO MOJA?
Kipi Hasa NI TATIZO?
Mkikata masala kadhaa tunaimani kuna kitu mnatengeneza.
Lkn KATA WASHA KATA WASHA KATA WASHA .
HII BALAA MNATUUNGUZIA VITU KILA SIKU
TUNAOMBA UFAFANUZI tujue WHY???
Mkuu ukipata namna ya kubadili naomba hii hudumaKubadilishiwa line ya umeme nafanyaje mie
Kubadilisha line ya umeme nafanyeje mkuuKwa haraka haraka ukiwa na 1.2m unamaliza Kwa Ile bei Yao ya kawaida ambayo nguzo moja hua wanasema n 370k
Mmakata na Kuwasha..yan kila mara khaaa.... mtaunguza katv kangu ka mchina...hasa uku nyasa
Bandari ya salamaUpo upande gani mkuu