Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@TANESCO kuna mteja wenu huku kawaita.Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,
LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Naomba kujua vituo vya mauzo ya Luku wilaya ya KinondoniTutaandaa utaratibu mzuri wa kuzifanyia kazi mkuu wetu.Jm
Hata kikwete tunamkumbuka"Mtanikumbuka.."
Kazi iendelee...
Mpuuzi sana wewe...kuwa UVCCM kusikufanye usiwe na akili ..pumbavu sana weweMkuu wewe umetoka lini mwezini maana mda si mrefu USA walikuwa na shida ya mafuta baada ya bomba la kusafirisha mafuta la colonial kupata changamoto; halafu wewe unakuja na akili za ki CHADEMA CHADEMA
The pipeline, which stretches from Texas to New Jersey, had been shut down since Friday after a ransomware attack. Over the last few days, Colonial has opened segments of the pipeline manually to relieve some supply pressures in a few states, including Maryland and New Jersey.
Mbona Ize tu sema utapewa kesi tuWacha nije chemba mkuu nipate mautundu kuepuka hasara pia.
Kuna jamaa yeye nahisi kwa mwezi takuwa anaekaga umeme wa buku 2 tu, na ana ma ac zaidi ya mawili.Hahahah bongo wahuni wengi kwahy mkuu hutoi hata mia
Shukran ngoja nijaribujana wakala
juzi nilinunua airtel money ukakubali
Kuunganisha direct hahaMaamuzi ya kishujaa ili kuokoa uchumi wa mtu mmoja mmoja.
Ukitafuta wabishi wewe ndo mbishi sasa.
Mpya anafika na kuhujumu basi labda katumwa!!Wa TRA mbona ni mpya kateuliwa na mama Samia? Au nae aondolewe tena?
Kama mwizi mzoefu anaweka sacket breaker nyingine,ndy anatumiaKuna jamaa yeye nahisi kwa mwezi takuwa anaekaga umeme wa buku 2 tu, na ana ma ac zaidi ya mawili.
Alichokifanya amechukua zile nyaya kama wanazotumia watu kubustia betri ya gari ikizingua alafu ameenda kuunganisha pale kwenye chuma kinachopokela nyaya za tanesco alafu amezipeleka hadi ndani kwake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nina uhakika ac na mafriji yake yanatumia umeme wa bureee
Nahisi hata yule kafanya hivyo,Kama mwizi mzoefu anaweka sacket breaker nyingine,ndy anatumia
Ova
Dah.. mkuu unatuvua nguo hapa umefungua code kabisa hebu futa hii kitu tafadhali 😀🙏Kuna jamaa yeye nahisi kwa mwezi takuwa anaekaga umeme wa buku 2 tu, na ana ma ac zaidi ya mawili.
Alichokifanya amechukua zile nyaya kama wanazotumia watu kubustia betri ya gari ikizingua alafu ameenda kuunganisha pale kwenye chuma kinachopokela nyaya za tanesco alafu amezipeleka hadi ndani kwake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nina uhakika ac na mafriji yake yanatumia umeme wa bureee