TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa

Niliwaza sana baada ya Dam za Libya kupasuka nikajisemea tu baada ya kuona comments za watu wakifurahia maafa ya Morocco na Libya

Kama kuna nyufa bora wasitishe kama kupungunguza maji sawa kuliko kusubiri vijiji visombwe
Haya ni makosa makubwa ya mkandarasi lakini pia wakaguzi wa wizara husika wanawajibika kwenye hili pia.. Kuna maswali muhimu ya kujiuliza hapa
Je hizi nyufa husika
Zimeanzia chini?
Zimeanzia katikati?
Zimeanzia juu?
Kila moja hapo lina madhara yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... KWAKWELI kabisa suala la nyufa halijajibiwa!
TUNAOMBA SANA, CHONDE CHONDE, uchunguzi ukamilike mapema ili, kama kuna hatari, watu wa mabondeni, 'downstream', wahame haraka kabla ya hatari!
USALAMA WA RAIA KWANZA!
 
Mbwembwe za Marope hizo alikuwa anataka bwawa lijae kwa sifa tu alifikiri anajaza pipa la maji
Angalia Ethiopia imewachukua miaka mingapi

Kama ni hela wamepiga sana bila kujali uimara wake
Aisee hao ni wa kufungwa tu
 
Inawezekana Ufa umeanzia chini na sio juu.
Ni janga hili
 
Lilivyojaa likipasuka wataokutwa njiani hawatapona.

NB: Tulikosea kujenga hilo bwawa
 
Hizo kitaalam si ndio wasema sijui kitugani jointi!

Hivyo sizani kama zinatabu sana, kadri tutakavyo kuwa tuna endelea kulitumi litazoea na hizo jointi zitajiziba

Pia nazani zitakuwa zieacha kwa sababu za kitaalam zaidi ili ukuta uweze kupumua kabla maji hayajaanza kujazwa na kuanza kutumika na baada ya hapo zitajiziba zenyewe hivyo tusiwe na wasi ndugu zangu


Makofi tafadhari
 
Katika taarifa yenye maneno 299 sijaona hata neno moja lililotaja nyufa,
 
Kwa hiyo hizo nyufa zinazosemwa zipo au hazipo maana taarifa haijazigusia hizo na ndiyo concern ya watu
Walio stable kichwani jibu limeeleweka tu na lipo wazi. Kiufupi wamejibiwa wenye akili, wanaojielewa ili waendelee na shughuli za ujenzi wa taifa. Misukule inaweza kuendelea na uzushi wao kama kawaida......haina athari; kuwepo au kutokuwepo kwao makes no difference.
 
Hivi na wewe upo stable kichwani?Vituko haviishi duniani!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Muwe makini msije mkawa mnajitengenezea majanga, taifa litachekwa kama kawaida yetu
 
Chuo cha tanesco wameviua , huko Moro wamekigeuza kuwa cha Islamic sharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…