Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
NAKAZIAKwa hiyo hizo nyufa zinazosemwa zipo au hazipo maana taarifa haijazigusia hizo na ndiyo concern ya watu
Hii ndio ile inaitwa professional rubbishNaona wameshazifanyia kazi kwa kiziziba[emoji23]
Muda mwingine inabidi tucheke japo haichekeshiView attachment 2753106
Neno jipya la kiswahili.Hapo kwenu Rufiji halijawafikia?Ndiyo nini hicho?
Unadhani wangejibu tofauti?Tanesco wamejibu kwamba hizo nyufa zinahimili uzito wa maji!
Sijui kama hili bwawa litahimili miaka 10 kabla halijapasuka na kuleta madhara makubwa kwa watu, mazingira, na viumbe hai wengine
Na kwa kukazia iitwe professerial rubbish!
Miaka kumi imefika?Tulia na utunze maneno yako.[mention]Mshana Jr [/mention] punguza kuwa Hussein Yahaya mkuu. Sorry, unautaalamu wowote wa mambo ya Uhandis lakin? Umewahi tembelea ule mradi walau kujua Kazi zinaendeleaje pale? Kwa iyo leo TANESCO haina wahandis mpk nyie ndo mtoe utaalam wa kitaa? Mradi ule unakila security za kuusecure mkuu, otherwise kwa nguvu ya maji yake izo nyufa zingeshapasua zile monolithic concrete walls kitambo sana, maji hayazuiliki kizembe!
Hii nchi ya ajabu sana.Kwamba,miguu iliyovunjika haishindwi kumbeba mtembeaji? Expansion joints hazijawahi kukosa watetezi.
Anatokea mtu ambaye hajui masuala ya umeme na uhandisi anakuwa boss wa tanescoChuo cha tanesco wameviua , huko Moro wamekigeuza kuwa cha Islamic sharia
Dalili za mvua ni mawingu.. Hao wanaoitwa watalam nawafahamu vilivyo[mention]Mshana Jr [/mention] punguza kuwa Hussein Yahaya mkuu. Sorry, unautaalamu wowote wa mambo ya Uhandis lakin? Umewahi tembelea ule mradi walau kujua Kazi zinaendeleaje pale? Kwa iyo leo TANESCO haina wahandis mpk nyie ndo mtoe utaalam wa kitaa? Mradi ule unakila security za kuusecure mkuu, otherwise kwa nguvu ya maji yake izo nyufa zingeshapasua zile monolithic concrete walls kitambo sana, maji hayazuiliki kizembe!
India ndiyo nchi inayoaminika kuwa na wajua hesabu na mainjinia wazuri sana duniani, lakini kuna bwawa la umeme lililowahi kubomoka.View attachment 2752996
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
HALI YA UBORA WA MRADI WA JNHPP NA UHIFADHI WA WANYAMA PORI
Jumapili, 10 Septemba 2023.
Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mradi wetu wa Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP). Taarifa hizo zinaelezea na kuleta hofu kuhusu Ubora wa Mradi, pamoja na Uhifadhi wa wanyama pori.
Taarifa sahihi kuhusu mradi wetu ni kwamba, mradi huu umesanifiwa kwa kuzingatia ubora wa hali ya juu na ujenzi wake unasimamiwa na wataalam walio bobea kwenye fani ya ujenzi(Civil Engineering) na Usimikaji Mitambo(Electromechanical Engineering) kutoka ndani na nje ya nchi ili kuhakikisha tunapata mradi ulio bora.
Kila hatua ya mradi hukaguliwa na kuhakikiwa kabla ya kwenda kwenye hatua nyingine, na pale ambapo hatua iliyotekelezwa inashindwa kufuzu ukaguzi na uhakiki basi marekebisho hufanyika kabla ya kuendelea hatua inayo fuata.
Bwawa letu ndani ya kuta zake limesimikwa vifaa vinavyo pima uimara kadri maji yanavyoingia kwenye bwawa, vifaa hivyo vina pima kama kuna hitilafu zozote zitakazo hatarisha ubora wa bwawa. Mpaka mwisho wa mwezi Agosti bwawa letu lina ujazo wa maji yalioingia wa mita za ujazo zaidi ya bilioni 14, na uzito wa maji unahimiliwa vizuri na bwawa letu kwani hakuna tatizo lolote la ubora au uimara linaloonekana kupitia vifaa vilivyosimikwa kwenye bwawa hilo.
Vilevile, uhifadhi wa wanyama pori na utunzaji wa mazingira unazingatiwa kama vile ilivyoainishwa katika mpango uliopitishwa wakati mradi huu unaanza kutekelezwa.
Mpaka mwezi Agosti 2023, Mradi mzima wa ujenzi umefikia asilimia 91.72%, na ni matarajio yetu mitambo yote itakuwa imefika nchini kabla ya mwisho wa mwezi Disemba 2023, na tutaanza kujaribu kupitisha maji kwenye mitambo mitatu ya kwanza mwezi Februari na tunategemea kupata Umeme wa kwanza mwezi Juni 2024 kama tulivyo ahidi.
Tunashukuru wananchi kwa kushirikiana nasi katika safari hii ya kujenga taifa letu, na hususan ufuatiliaji wa maendeleo ya mradi wetu huu mkubwa wenye manufaa makubwa kwa Taifa letu.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA TANESCO- MAKAO MAKUU.
DODOMA
Pia soma: Bwala la kufua umeme la Mwl. Nyerere, limeanza kutoa nyufa
Hakuna kitu chenye uvutano mkubwa (gravitational force) na mgandamizo mkubwa (Compression) kama maji...Na kwa kukazia iitwe professerial rubbish!
Miaka kumi imefika?Tulia na utunze maneno yako.
Kwa hiyo hawa 'Taa siko' wanambishia naibu waziri mkuu kuhusu uwepo wa nyufa? nchi ina mazongezonge sana hii..hizo nyufa ni mapambo ya bwawa au ndio expansion joint ,
watoe ufafanuzi wa nyufa, hii taarifa ni mbambamba tu
biteko juzi kaona tatizo ,leo wanasema wapo vizuri
Shoga mkuu huwa anawajua mashoga wenzake !Tusi liko wapi hapo?? Kwan si nakujua in personal kuwa shoga
Kabisa !Mbwembwe za Marope hizo alikuwa anataka bwawa lijae kwa sifa tu alifikiri anajaza pipa la maji
Angalia Ethiopia imewachukua miaka mingapi
Kama ni hela wamepiga sana bila kujali uimara wake
Aisee hao ni wa kufungwa tu
Duh !Anzeni kuhama tu hapo msisubiri maafa