Waliomkataza kusikiliza hyo nyimbo ndio wahusika wa kifo [emoji23][emoji23]maana wangemuacha asikilizee mpk achoke penginepo angeridhika ...saa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka.[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhai hauna spea,,siwezi nikautoa kiboya Hadi nikome!!Na ukamuacha huyo anayekupa utamu wenyewee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], uckubali mkuu kuutoa uhai wako
Kufikiria kufa ni maamuzi magumu mno achilia mbali kutenda huo weledi huoπndo unatuponzaNi weledi mno wa mapenzi na wakipenda wamependa kama mimi tuu[emoji848][emoji2827][emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Marioo kazidi kuyaegemea sana. Imagine marehem kasikiliza dear ex, kachanganyaa na inatosha na ile ya dar kugumu.Kaona isiwe tabu bora kufaπ
Mwenye wimbo wake ashtakiwe, kasababisha mauaji
Siri nzima ya mafanikio iko hapa.........Hata hivyo Kaimu Kamanda wa Polisi amesema Jumaa alikuwa Mtumiahi mkubwa wa dawa za kulevya kama vile heroin na pombe kali na hivyo Polisi inaendelea na uchunguzi kuweza kufahamu chanzo cha tukio hilo.
Vitu vinginee mkuu vinachekesha [emoji23][emoji23].ss kwann walimkatazaa kusikiliza hata mara 100 au wangempelekea redio nyumbn kwake wamwekee ngoma yake acheze mpk acheze Tena na km kulia Alie tenaa....Kuweni serious bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakwel aiseee [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji28] ,Kuna vitu vingi vyakufurahia maishΓ njee ya mapenzi.Uhai hauna spea,,siwezi nikautoa kiboya Hadi nikome!!
πππππππππππVitu vinginee mkuu vinachekesha [emoji23][emoji23].ss kwann walimkatazaa kusikiliza hata mara 100 au wangempelekea redio nyumbn kwake wamwekee ngoma yake acheze mpk acheze Tena na km kulia Alie tenaa....
Rip
Aisee yan sanaaaaaaKunawatu wanateseka na mapenzi sana
Walikuwa wanamuonea hurumaWaliomkataza kusikiliza hyo nyimbo ndio wahusika wa kifo [emoji23][emoji23]maana wangemuacha asikilizee mpk achoke penginepo angeridhika ...
Yaani kuachwa na mtu mliyekutana ukubwani ndio ujinyonge ufe, PUMBAVU Kabisa, tukemee hizi roho.
Fika Tabora mkashuhudie mazwazwa mitaani wakichezea makopo jalalani huku wakijichekesha wenyewe. Matatizo haya anayo pia Shilole, yeye hajinyongi ila anapiga waume zake (viserengeti boys) na kuwatia vidole hadharani kuwadhalilisha. Mziwanda mpaka leo akisikia jina la Shilole tu anatimua zake, akihofia matako yake. Watu wa Tabora wana matatizo sana ya kiakili.π inachekesha matatizo ya akili
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwannHuyo Alie hesabu mara 60
Akamatwe haraka
apumzike kwa amani, hali ya afya ya akili kwa watu wengi inazidi kuwa serious kwa kweli..!!