Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

Moshi inanyimwa kwa sababu za kisiasa, huwezi kulingana Moshi na Tanga, Tanga ni pahovyo sn
Moshi inanyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa tufanye ni kweli!.
Je Musoma, Bukoba, Shinyanga, Kigoma, Songea , Tabora na Singida pia wamenyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa au hao nao ni wavivu kama watu watanga vile mnavyodai na wameshindwa kuwa machawa kama watu wa Tanga ili wapewe hadhi ya jiji?!
 
Moshi inanyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa tufanye ni kweli!.
Je Musoma, Bukoba, Shinyanga, Kigoma, Songea , Tabora na Singida pia wamenyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa au hao nao ni wavivu kama watu watanga vile mnavyodai na wameshindwa kuwa machawa kama watu wa Tanga ili wapewe hadhi ya jiji?!
Hoja yako haina mashiko, Tanga ina bandari, pia Tanga ya siku nyingi huwezi linganisha na miji tajwa hapo juu.
 
Hoja ya kipuuzi sana!.
Kwahiyo Shinyanga, Tabora, Singida, Sumbawanga, Kigoma na musoma hakuna machawa?!
Na je Dodoma , Mwanza , Arusha na Mbeya pia ni machawa ndiyo maana walipata hadhi ya jiji?!
Huko kwingine hakuna machawa Wala sio swala la ajabu,Hako kamkoa kuna kipindi wabunge wake 7 walikuwa Mawaziri na imekuwa hivyo miaka Mingi tuu (uchawa).

Mfano mzuri wa uchawa mwingine ni Pwani nayo Ina mawaziri Rundo ndio maana saizi wameanza kujipa hadhi ya Manispaa sijui Mji na upuuzi mwingine kisa uchawa.

By the way Tabora na Morogoro Ina vigezo zaidi vya kuwa Jiji kuliko Tanga.

Mwisho Majiji mengine uliyoyaa Yana sifa na vigezo kuanzia idadi ya watu,Mapato na Ukubwa wa Uchumi
 
Moshi inanyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa tufanye ni kweli!.
Je Musoma, Bukoba, Shinyanga, Kigoma, Songea , Tabora na Singida pia wamenyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa au hao nao ni wavivu kama watu watanga vile mnavyodai na wameshindwa kuwa machawa kama watu wa Tanga ili wapewe hadhi ya jiji?!
Moshi Ina sifa zipi za kuwa Jiji na wewe mwanakijiji ?

Hako kamji hakana Mapato wala watu wa kutosha ndio Kawe Jiji? 😂😂

Upcoming Majiji ni Morogoro na Tanga kidogo Iringa na Kahama
 
Hoja yako haina mashiko, Tanga ina bandari, pia Tanga ya siku nyingi huwezi linganisha na miji tajwa hapo juu.
Musoma, Bukoba, Shinyanga, Tabora na Songea sio mikoa ya siku nyingi?!
Wewe nchi hii unaijua au ni mkimbizi umeigia TZ mwaka jana?!
Halafu hapo bandarini wafanya kazi ni maroboti , watu wa mikoani au kazi za bandarini zinafanywa na watu wa hapohapo Tanga?!
By the way Mimi ni mzinza kutoka Biharamulo mkoani Kagera ila nimeishi jijini Tanga miaka 9 (2005- 2014 ) na huwa natembelea Tanga kila baada ya muda fulani kwasababu hapo jijini Tanga niliacha watoto.
Sasa jiji la Tanga ninalijua vizuri na wakazi wa jiji hilo pia nawajua vizuri kwasababu ni wakwe na shemeji zangu.
 
Moshi Ina sifa zipi za kuwa Jiji na wewe mwanakijiji ?

Hako kamji hakana Mapato wala watu wa kutosha ndio Kawe Jiji? 😂😂

Upcoming Majiji ni Morogoro na Tanga kidogo Iringa na Kahama
Kuna mtu mmoja kachangia kwamba Moshi inanyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa ndio nikamuuliza hiyo mikoa mingine kama Musoma na Bukoba pia wamenyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa?!
Hoja yangu ni kwamba watu wanaosema kwamba watu watanga ni wavivu siyo kweli.
Mji wa watu wavivu hauwezi pewa hadhi ya jiji?!
 
Kuna mtu mmoja kachangia kwamba Moshi inanyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa ndio nikamuuliza hiyo mikoa mingine kama Musoma na Bukoba pia wamenyimwa hadhi ya jiji kwa sababu za kisiasa?!
Hoja yangu ni kwamba watu wanaosema kwamba watu watanga ni wavivu siyo kweli.
Mji wa watu wavivu hauwezi pewa hadhi ya jiji?!
Tanga Haina hadhi ya Jiji ni porojo za uchawa tuu.

Jiji gani halina watu wa kutosha kama Moshi?
 
Maskini Tanga, Lindi na Tabora baada ya mjerumani
tu kufurushwa Tanganyika, Mikoa hii ikaanza kujifia... Huwezi amini Tabora iliwahi kuwa na pesa yake Enzi za utawala wa mjerumani.
Lakini hiyo Miji ilififia baada ya Serikali kuchukua hela za huko na kwenda kujenga Dar .

Watu wajinga walioshika madaraka baada ya uhuru ndio waliotufikisha hapa.

Ni upunguani Nchi kubwa kama hii kutegemea Mapato 80% kutoka Jiji Moja la Dar.
 
Tanga Haina hadhi ya Jiji ni porojo za uchawa tuu.

Jiji gani halina watu wa kutosha kama Moshi?
Unachekesha sana.
Mimi Tanga nimeishi miaka 9.
Na muda huu napoandika maneno haya nipo Moshi mjini!
Nimeishi Moshi kabla ya Tanga 2001 hadi 2004 nilikuwa Moshi mjini.
2005 hadi 2014 nilikuwa Tanga mjini.
Halafu 2019 hadi 2021 Moshi mjini.
Halafu 2024 hadi sasa nipo Moshi mjini.
Tanga ninalijua na Moshi ninaijua.
Moshi kwa Tanga ni mtoto mdogo sana haiifikii hata nusu !.
 
Tanga itachangamka kidogo baada ya Barabara ya Hororoho/Kenya Border- Tanga-Bagamoyo-Dar na Handeni-Kiberashi-Singida kukamilika lakini sio kuweza Kuwapita ma giant.
 
Unachekesha sana.
Mimi Tanga nimeishi miaka 9.
Na muda huu napoandika maneno haya nipo Moshi mjini!
Nimeishi Moshi kabla ya Tanga 2001 hadi 2004 nilikuwa Moshi mjini.
2005 hadi 2014 nilikuwa Tanga mjini.
Halafu 2019 hadi 2021 Moshi mjini.
Halafu 2024 hadi sasa nipo Moshi mjini.
Tanga ninalijua na Moshi ninaijua.
Moshi kwa Tanga ni mtoto mdogo sana haiifikii hata nusu !.
Vyote ni Vimji uchwara vya Kisiasa tuu japo Tanga Ina nafuu
 
Back
Top Bottom