Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Wamemkosa JM na baba yake nao waijenge kama kule ziwani na baharini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Ungeandika hivi mkuu "Msoma, Bukoba, Shinyanga Mjini, Tabora Manispaa na Songea sio Manispaa za siku nyingi?. "Sijajua tunapishana wapi
Hata hivyo mkuu binafsi nilikuwa na kurekebisha hicho tu.Musoma, Bukoba, Shinyanga, Tabora na Songea sio mikoa ya siku nyingi?!
Mkoa kama mkoa morogoro ji kubwana ina watu wengi sema pale makao makuu ya mkoa,tonga jiji ni bora kuliko morogoroIla Tanga inazidiwa na Morogoro na Kahama Kwa idadi ya watu Kwa matokeo ya sensa ya 2022 Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania
Tabora ina vigezo?🙄🙄By the way Tabora na Morogoro Ina vigezo zaidi vya kuwa Jiji kuliko Tanga.
Tanga ganMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Huu mkoa ufutwe tu hauna faida kwene hii nchiMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
HIVYO vyakula wanavyopika wanavitoa wapi wakati tunaambiwa eti ni wavivu?!Sema Tanga Wana jua kupika aisee, nili kuwa nakula Mara tatu Tatu.
Akuna Nchi au Mkoa unaoamini sana ushirikina ukawa na mafanikio, Tanga uchawi unauzwa hadi gulioni,Sasa hapo unategemea nini,Sehemu kama hizo labda haende mgeni ndio anaweza fanikiwa,lakini napo usijichanganye na wenyeji. NoMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi
Tanga ya miaka hiyo ambapo hao jamaa waliimba wimbo huo na Tanga ya sasa ni kama mbingu ardhi!Ukisiliza ile nyimbo ya wagosi wa kaya unaweza kudhani ni utani kumbe ndio ukweli
Tanga jiji hakuna uchawi!Akuna Nchi au Mkoa unaoamini sana ushirikina ukawa na mafanikio, Tanga uchawi unauzwa hadi gulioni,Sasa hapo unategemea nini,Sehemu kama hizo labda haende mgeni ndio anaweza fanikiwa,lakini napo usijichanganye na wenyeji. No
Kwenye hizo data ulizoweka Tanga ni ya 4 kwa kulipa kodi, hulipi kodi sana kwa kuwa na boda boda na tunajua Bandari si mapato ya Tanga yanahesabiwa juu kwa juu, hio kodi inalipwa vipi?Tanga Haina chochote Cha kufanya iwe namba 2 Kwa Tanzania.
Sio rahisi kupita Mwanza au Mbeya ila hao kina Arusha na Moro watapitwa mwaka huu huu.
Uwepo wa Bandari na boda sio juhudi za watu wa Tanga Hadi useme inachangia sana kitaifa.
unahisi hela za Bandari zinapitia Halmashauri ya Tanga? hazipitii, huyo ChoiceVariable anafahamu hilo ila anazingua tu, tushali discuss hilo humu.Sawa ila mapato yanatoka zaidi mpakan na bandarini ambapo shughuli za wananchi ni chache.
wewe ndio hujui sifa za jiji, soma wikipedia, hii definition murua ya jijiHoja yako haina mashiko, Tanga ina bandari, pia Tanga ya siku nyingi huwezi linganisha na miji tajwa hapo juu.
sifa ya jiji ni kuwa na non-agriculture economy, watu wavutiwe na uchumi ambao sio wa kilimo, kuwe na huduma zote muhimu, watu wakiwa wengi for the sake ya kuwa na watu wengi ama uchumi tu kuwa mkubwa hakufanyi sehemu iwe jiji.Ila Tanga inazidiwa na Morogoro na Kahama Kwa idadi ya watu Kwa matokeo ya sensa ya 2022 Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania
Wana Lima, lakini pia chakula Tanga ni very affordableHIVYO vyakula wanavyopika wanavitoa wapi wakati tunaambiwa eti ni wavivu?!
Wanadeal na Mapenzi tuuMkoa umebarikiwa kila kitu
Sijui wagosi wanafeli wapi