Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

Huko kwingine hakuna machawa Wala sio swala la ajabu,Hako kamkoa kuna kipindi wabunge wake 7 walikuwa Mawaziri na imekuwa hivyo miaka Mingi tuu (uchawa).

Mfano mzuri wa uchawa mwingine ni Pwani nayo Ina mawaziri Rundo ndio maana saizi wameanza kujipa hadhi ya Manispaa sijui Mji na upuuzi mwingine kisa uchawa.

By the way Tabora na Morogoro Ina vigezo zaidi vya kuwa Jiji kuliko Tanga.

Mwisho Majiji mengine uliyoyaa Yana sifa na vigezo kuanzia idadi ya watu,Mapato na Ukubwa wa Uchumi
Ninamashaka na uelewa wako kwenye mikoa ya hii nchi.
Tanga ukaiweke hadhi sawa na Tabora?
Embu punguza mihemko inaonekana hii nchi huijui wewe.
Tanga kuanzia idadi ya watu, makusanyo ya mapato huwezi ilinganisha na hiyo mikoa .
 
Musoma, Bukoba na songea hizo ni wilaya sio Mikoa. Rekebisha.
Tunazungumzia manispaa kupewa hadhi ya jiji.
Bukoba ambayo ni makao makuu ya mkoa wa Kagera ikipewa hadhi ya jiji haiwezi kuitwa jiji la Kagera bali jiji la Bukoba.
Hali kadhalika kwa makao makuu ya mikoa ya Mara na Ruvuma!.
Itakuwa jiji la Musoma na jiji la Songea.
 
Achana nae huyo mjuaji mkuu, me ni mtu wa Moshi lakini siwezi kuilinganisha hiyo Moshi ya Sido, soweto, mjini hapo , majengo na pasua eti uifananisha na Tanga ya barabara zote zile, nenda Duga, nenda Msambweni, nenda Mabanda, nenda Kange , nenda mkanjuni .
Tanga kubwa sana kwa moshi
 
Tunazungumzia manispaa kupewa hadhi ya jiji.
Bukoba ambayo ni makao makuu ya mkoa wa Kagera ikipewa hadhi ya jiji haiwezi kuitwa jiji la Kagera bali jiji la Bukoba.
Hali kadhalika kwa makao makuu ya mikoa ya Mara na Ruvuma!.
Itakuwa jiji la Musoma na jiji la Songea.
Ila Tanga inazidiwa na Morogoro na Kahama Kwa idadi ya watu Kwa matokeo ya sensa ya 2022 Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania
 
Tanga Haina hadhi ya Jiji ni porojo za uchawa tuu.

Jiji gani halina watu wa kutosha kama Moshi?
Kwahiyo viongozi walioipa Tanga hadhi ya jiji ni wendawazimu!.
Kwanini Shinyanga , Moshi, Lindi , Mtwara na Songea hawajapewa hadhi ya jiji wakapewa Tanga ?!
Nimeamua nikuchanganyie mijinya waswahili kama Lindi na Mtwara ili ujue kwamba Tanga imepewa hadhi ya jiji kwa kusitahiki Wala sio upendeleo!
 
Kwahiyo viongozi walioipa Tanga hadhi ya jiji ni wendawazimu!.
Kwanini Shinyanga , Moshi, Lindi , Mtwara na Songea hawajapewa hadhi ya jiji wakapewa Tanga ?!
Nimeamua nikuchanganyie mijinya waswahili kama Lindi na Mtwara ili ujue kwamba Tanga imepewa hadhi ya jiji kwa kusitahiki Wala sio upendeleo!
Uchawa tuu hakuna kitu
 
Achana nae huyo mjuaji mkuu, me ni mtu wa Moshi lakini siwezi kuilinganisha hiyo Moshi ya Sido, soweto, mjini hapo , majengo na pasua eti uifananisha na Tanga ya barabara zote zile, nenda Duga, nenda Msambweni, nenda Mabanda, nenda Kange , nenda mkanjuni .
Tanga kubwa sana kwa moshi
Hata mimi miji yote nimeishi Tanga nimeishi na Moshi nimeishi na hadi muda huu nipo Moshi mjini.
Kwanza Tanga ya Sasa ni jiji la viwanda.
Na ukiingia humo viwandani wafanyakazi ni watu watanga hasa wadigo na wasambaa!.
 
Hata mimi miji yote nimeishi Tanga nimeishi na Moshi nimeishi na hadi muda huu nipo Moshi mjini.
Kwanza Tanga ya Sasa ni jiji la viwanda.
Na ukiingia humo viwandani wafanyakazi ni watu watanga hasa wadigo na wasambaa!.
Hapo kwenye viwanda sawa ,kabandari kanawasaidia
 
Wanakula nyumbani kwako?! Nguo wanazovaa wanapewa na nani?
Ulishasikia serikali imewapelekea chakula na nguo za msaada?!
Mbona mbona manispaa yao imepewa hadhi ya jiji Tangu 2005 wakati Shinyanga,Bukoba,Musoma, Singida, Sumbawanga,Songea, na Kigoma Bado ni manispaa?!
Kwanini mji wa watu wavivu ipewe hadhi ya jiji sawa na Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar?!

Wewe hujafika Tanga,na Huenda huijui kama unaijua Tanga wewe ni sehem ya wavivu.

📌📌📌
 
Tunazungumzia manispaa kupewa hadhi ya jiji.
Bukoba ambayo ni makao makuu ya mkoa wa Kagera ikipewa hadhi ya jiji haiwezi kuitwa jiji la Kagera bali jiji la Bukoba.
Hali kadhalika kwa makao makuu ya mikoa ya Mara na Ruvuma!.
Itakuwa jiji la Musoma na jiji la Songea.
Screenshot_2025-02-26-21-13-26-00.jpg
Hapa umeitaja kama Mikoa na sio manispaa ndio maana nikakurekebisha.

Na hata kama ungekuwa unaelezea manispaa basi majina ya Tabora na Shinyanga sio majina ya manispaa ila ni majina ya Mikoa.
 
View attachment 3250857Hapa umeitaja kama Mikoa na sio manispaa ndio maana nikakurekebisha.

Na hata kama ungekuwa unaelezea manispaa basi majina ya Tabora na Shinyanga sio majina ya manispaa ila ni majina ya Mikoa.
Mkoa wa Tanga/ jiji la Tanga.
Mkoa wa Dodoma/ jiji la Dodoma.
Mkoa wa DSM / jiji la DSM
Mkoa wa Mwanza /jiji la Mwanza.
Mkoa wa Shinyanga /manispaa ya Shinyanga.
Mkoa wa Tabora /manispaa ya Tabora.
Mkoa wa Mara /manispaa ya Musoma.
Mkoa wa Ruvuma /manispaa ya songea.
Mkoa wa Kagera / manispaa ya Bukoba.
Sijajua tunapishana wapi !!
 
Back
Top Bottom