Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Huu msafara wa Msiba nilikutana nao Jana Saa 9.05 alasiri pale Madale Kituo Cha Polisi,Kulikuwa na Coaster mbili zimeongozana,hii coaster iliyobeba mwili wa marehemu ilikuwa mbele na nyingine ikifuata nyuma!!,Kiufupi hizi Coaster zilikuwa Spidi Sana!!,
 
Ningekua miongoni mwa mashuhuda na ninamuona huyo dereva wa fuso bado akiwa hai ambaye ndiye aliyesababisha ajali kwa uzembe, ningeenda kumsimanga na kummalizia afe vizuri.
Uzembe wake umegharimu maisha ya watu, lakini tulivyo wajinga ukisoma comments utaona watu wanahusianisha ajali na uchawi, wengine wanachukulia mzaha
 
Pole sana mkuu, hii "RAHA YA MILLENNIUM" ndio Raha gani?
 
14 ni familia moja!!??
duuh msiba mzito sana huu
 
إنا لله وإنا إليه راجعون

Utaratibu wa kusafirisha maiti ni katika taratibu mbaya zaidi katika kushughulikia mwili wa marehemu, kwanza husababisha huzuni zaidi kwa wafiwa na pia ni kwenda kinyume na mafundisho na maajabu waislamu nao siku hizi wanasafirisha.
 
Marehemu kaondoka na roho zingine 17
 
Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Mzee wa utamaduni...tulia basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…