Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Hivi uislam hautakiwi,kusafirisha maiti

Nimeuliza tu

Ova
 
9
L
Pole kwa wafiwa, inasikitisha sana!!
 
Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Sasa ndio marehemu Aue watu wote.. Hiyo fuso imezingua sana. Madereva wa tz tunatakiwa tupewe course upya
 
Kipande cha Chalinze hadi Segera,
Serikali iangalie uwezekano wa kuweka taa za bara barani za solar.

Pia iangalie uwezekano wa kukata vilima au kujazia mabonde ili kutoa ile migongo inayosababisha magari ya pande mbili tofauti yasiweze kuonana...

Pia iangalie uwezekano wa kuongeza lane ya tatu kwa kipande hiki chote.
 
Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Kaka sidhani kama ndivyo..ni uzembe tu wa madereva..Sisi wenyewe tuliwahi koswa na fuso mwaka Jana mwezi wa sita MITA kama hiyo tulikuwa tunamsafirisha mwili..pona yetu dereva wetu alikuwa yuko smart na anawafahamu vizuri madereva wa fuso..baada ya kuukwepa huo mtego nilimuuliza alijuaje..
Akaniambia hawa madereva wa fuso wanatakiwa fika sokoni kabla ya saa 11 asubuhi Ili mzigo uuzike..so usiku lazima wakimbie Sana..aliwaona wakiwa wa nafukuzana..wa nyuma alitaka kuovertake hapo maeneo ya korogwe ..kutuona akarudi site yake..ila dereva akasema huyo amerudi tu kwa mshtuko ila najua Hana breki za kumzuia kumvaa wa mbele yake alikuwa yuko kibati..so hatakuwa na jinsi Zaid ya kutoka tena liwalo na liwe..maana ni either amvae mwenzake au atoke upambane nae .ndio maana nikaamua punguza mwendo na kukaa pembeni..Na kweli ndicho kilichotokea.ina maana dereva angejisahau baada ya kumuona amerudi site yake..yangetukuta.
Rai kwa wanaoendesha usiku..jamani kuweni makini sana
 
Hapo lazima kuna ndugu zaidi ya 10
Kwa utaratibu wa Moshi..gari linalobeba mwili wa marehemu ndilo linalobeba ndugu zake wa karibu..kama ni baba basi humo watapakia mke na watoto..kaka na madada ..yaani wa ndugu wa karibu Sana..so waona utakuwa ni msiba mkubwa kiasi gani..yaani ni ukoo umeondokewa na watu waote hao
 
Daah poleni sana ndugu zangu wa Moshi...!! Msiba juu ya msiba yani unashindwa hata kuliaa unabaki unashangaa tuu... Mungu awatie nguvu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…