ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Poleni mliopata operation pengine ni Kwa vile Mimi na ndugu zangu tuna bahati sijawahi kukutana na hiyo kadhia.Tena hiyo ndogo...mi nilipigwa laki 2 na nusu tena serikali....wakataka nigomea bima nikasema nawashtaki...ndiyo kuogopa
Kuua huyo mama!wawajibishwe kwa lipi?
Kweli kabisa. Watu vijijini wamezoea kujifungia kawaida nauli tu ya kwenda hospital hamna ni anaenda Kwa miguuu jamaa anafanya masihara.Usiwe kama Antoniette 1st lady na mama mfalme wa Ufaransa ya kale.
Njaa ilipokuwa imetamalaki nchini mwake, yeye yupo kuwashangaa watu wake masikini wanavyokufa kwa njaa: "kama mikate haipatikani, kwanini wasile keki?"
Ndiyo nawewe akili zako zimeegemea upande wa mawazo kama hayo.
Unashangaa miezi 9 ya mjamzito kukosa hela ya dharula ya kujikimu!
Maisha ya kijijini hata mjini kwa watu walio wengi ni ya dunia nyingine, usije ukawaza kirahisi namna hiyo.
Kuipata tu elfu 10 kwa mtu fukara ni msamiati usio na majawabu.
Aipateje, auze nini mtu asiyemiliki chochote zaidi ya kibanda mbavu za mbwa ama kutokuwa na chochote anachomiliki kabisa?
Kuipata hela ya kula kwa siku moja ni tabu tupu, sembuse kuweka akiba!
Wewe kama Mungu amekujalia maisha mazuri kuweza kula na kujiwekea akiba, shukuru, lakini ukae ukijua kuwa maisha ya waTz walio wengi hasa kipindi hiki, wanaishi chini ya mstari wa umaskini.
Ethically hawakuwa Sawa hata thumni ila systematically wako sawa ...Kwa hiyo Dr. Walichokifanya hao wahudumu wako sawa au?
Alipe maiti, sio!!Si alishapewa huduma ,inabidi zilipwe.
Naisikitikia nchi yangu , nahuzunika maana wabaya ni sisi , wazuri ni wao .Tatizo wananchi hamjui jinsi hili sakata lilivyo ni kama kuna watu wanaangushiwa Ukuta wakati tunajua chanzo..
We hujawahi kuskia mtu kasimamishwa kazi kisa hajafikisha malengo ya mapato..hujawahi kusikia?
Wewe unavyojua Dawa huwa zinatoka wapi?
Vitendea kazi zinatoka wapi?
Posho za wafanyakazo zinatoka wapi?
Manunuzi ya vifaa vinatoka wapi?
Kosa ni kifo lakini kwa huduma hospitali isilaumiwe
Hongera sanaPoleni mliopata operation pengine ni Kwa vile Mimi na ndugu zangu tuna bahati sijawahi kukutana na hiyo kadhia.
Sana Siasa inaangusha Taifa kama nchi ikiamua kitu cha wataalamu waachiwe wataalamu tutafika ila tukiendelea hivy tutaanguka tena Muanguko wenye kishindoNaisikitikia nchi yangu , nahuzunika maana wabaya ni sisi , wazuri ni wao .
Siasa ni mbaya sana
Wamemuua au kafa mwenyewe kwa kukosa pesa za huduma?Kuua huyo mama!
Sasa umeshasema msaada, msaada huwa ni hiyari sio lazima.Uzembe ulikuwepo upande wao ila Bado walihitaji kusaidika!
Watu kule hawana hata elf 20 mzee huwezi amini. Hata angejipanga vipi. Huko wanategemea kudra za MunguSasa umeshasema msaada, msaada huwa ni hiyari sio lazima.
Na mara nyingi hizo case za C/S huwa ni elective kwa hiyo mtu anajua kabisa inabidi ajiandae , kwa kukosa yeye pesa asiwape watu lawama.
Sasa hizo ni shida zake, lawama zielekezeni serikalini sio kwa hao watumishi.Watu kule hawana hata elf 20 mzee huwezi amini. Hata angejipanga vipi. Huko wanategemea kudra za Mungu
inasikitisha sana kwa kweliNaisikitikia nchi yangu , nahuzunika maana wabaya ni sisi , wazuri ni wao .
Siasa ni mbaya sana
Malipo yapo niliwahikulipa 380K Kwa ajili ya mama mjamzitoNi Bure Sana sana ni vifaa labda kama ni private ,Serikalini najua ni Bure na sijawahi sikia kulipia
Hakika featuring hatari sana 🤣🤣🤣🤣🪑Makonda huko anapita na kuropoka wakati mfumo hausaidii watu maskini wakati wa uitaji.
Hii nchi ni ya hovyo, na ukipata fursa ondoa kizazi chako wakaishi ulaya au hata Botswana.
Kila siku mambo ya hovyo na ya kishenzy yanaendelea, Makonda anagawa hela huko barabarani.
Msaada wa nchi hii upo kwenye kurekebisha mifumo na sio Bongo movie za ccm.
Maana wale watabibu wao wamefuata sheria.Ninashangaa kwa nini Waziri wa afya kawasimamisha.Sasa serikali si Iseme kuwa matibabu ni bure.Yaani hao watumishi wakishtaki wanashinda hii kesi.Huu ndio ukweli mchungu wasiotaka kuusikia.
Mwisho wa siku hawa ndio wanaotupa vichanga .
Nchi inaendeshwa kisiasa sana.Maana wale watabibu wao wamefuata sheria.Ninashangaa kwa nini Waziri wa afya kawasimamisha.Sasa serikali si Iseme kuwa matibabu ni bure.Yaani hao watumishi wakishtaki wanashinda hii kesi.