Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeutafuta mpk nimeuona...ila umepigwa pini..Ngoja ntakutag kweny huo uzi ccy
Acha hizo bwana nipo safarini hapa kwenda kula mbususu za kiganda.Mhhh unapenda mbususu kuliko maji
Nitakujibu kesho usiku mwema...Acha hizo bwana nipo safarini hapa kwenda kula mbususu za kiganda.
Kwema lakini mtani? Uganda utatoboa kweli?
Ila msiwe na roho mbaya sasa mke unamnyima mume mbususu miaka yote hiyo jamani kha!Nitakujibu kesho usiku mwema...
Wooouh,Nimeutafuta mpk nimeuona...ila umepigwa pini..
Umeshaua mtu ngapi Mkuu?Ukiona mwanamke ameanza kukusumbua ktk ndoa, nakushauri muue mapema tena kimya kimya, una muua kifo ambacho hata Police na Hospital hawawez kugundua umemuua... Usipomuua mbeleni anakuja kukuua wew au anakutia stress maisha yako yote...
Halafu nyie wanaume acheni upumbav wa kuoa mwanamke na kumuonyesha mali zako hii dunia imechafukwa sana... Jenga kimya kimya, ukitaka kuhamia mwambie hiyo nyumba ni ya kupanga... By nature wanawake wote ni mshetani hawafai... Narudia tena ukiona mwanamke ameanza kukusumbua MUUUE
Pole sana kwakeBwana Saidi mkazi wa Jijini Tanga anaelezea alivyonyanyasika na mkewe ambaye kwa sasa amemuacha na kuivunja ndoa yao kwa Kadhi. Huku bado manyanyaso hayo yakiendelea baada ya mkewe kutaka nyumba waliokuwa wakiishi iuzwe wagawane mali.
Majirani wamesema mwanaume huyo alikuwa akimpenda mkewe hadi kufikia hatua ya kumfulia nguo zake, kupiga deki, kuchota maji, kupeleka watoto kliniki, kumfungulia maduka manne sambamba na kumpa gari lakini haikuwa dawa kwake hatimaye ameamua kumwacha.
Mwanaume huyo anaomba msaada asaidiwe.
View attachment 2524869
------
Mwanaume pichani anaomba msaada baada ya mateso makali aliyopitia kwenye ndoa yake ikiwemo kunyimwa unyumba kwa miaka saba mbali ya mapenzi makubwa aliyompatia mke wake ikiwemo kudeki nyumba, kumfulia nguo, kumfungulia maduka pamoja na kumnunulia gari.
Pia anadai yeye ndio aliyekuwa anawapeleka wanae klinik pindi walipokuwa wadogo.
Cha kushangaza mbali na mapenzi yote aliyomuonesha Anadai mkewe ameibuka mahakamani kuomba talaka na mahakama imeamua nyumba iuzwe wagawane mali bila kujali kwqmba nyumba hiyo ni mali ya watoto.
Bwana said anaomba msaada nyumba Ibaki isiuzwe kwakuwa watoto watakosa mahala pa kuishi.
Wakataa ndoa nawaona leo wanavyojishindia points
Ila jaman mwanaume wa kufanya yote hayo anakeraaa. Mwanaume usilegee sana kwa mwanamke... hadi kudeki??? Hapana. Wa hivyo anaboa.