COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Mshukuru MUNGU Mkuu kama juzi na jana uliuzaAhsante hata nilidhani nimemaliza kuandika
Yani moyo wangu umekuwa mzto
Ni kwl waganga wapo au ni stori tu mkuu?
Mkuu mdau hapo juu hajaomba mlo wa siku... Anaomba umtatulie tatzo linalomwandamaMkuu maumivu ya nini mkuu tukuelekeze mlo uondokane nayo.
Nakupa mfano possible tofauti na biashara yake but angalia hili.Biashara ina miaka 2Β½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? πππ
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakataππππππ
Biashara ina miaka 2Β½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? πππ
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakataππππππ
Amesema "mwanzo biashara ilikuwa nzuri" hivyo alishaiba tokea anaanza biashara sasa hayo ni malipo yake...#amesema hapati kitu_hio yakutoa anapata wapi..?
Mbona unaandika kama unakimbizwa tulia uandike vizuri
Elezea zaidi nduguPole sana mkuu kwenye ulimwengu wa biashara inabidi uchague either Ulimwengu wa Nuru au giza, biashara Zina mambo mazito nyuma ya pazia
Utani gani mkuu jamaa kaedit uzi sahivi umekaa poaMkuu usilete utani kwenye mambo ya msingi
Ahsante kwa maelekezoMkuu mdau hapo juu hajaomba mlo wa siku... Anaomba umtatulie tatzo linalomwandama
.njoo in box tuhojiane kidogo halafu tusaidiane bureeeBiashara ina miaka 2Β½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? πππ
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakataππππππ
Mkuu pole sana,Hardware ya vifaa vidogo vidogo
Tulia usipanicUPDATE:
HADI SASA KAPA
Eeh baba ,eeeh baba kwa nini kikombe hiki kizito, mbona nakutumainia??
,ππππππππ
Njoo in box hutajutaUPDATE:
HADI SASA KAPA
Eeh baba ,eeeh baba kwa nini kikombe hiki kizito, mbona nakutumainia??
,ππππππππ