Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Aliua hajaua?????Unajua toka muanze kumuelezea huyo Magufuli na hiyo sifa ya uuwaji ni kwamba mmekuwa mnarudia kuwataja watu walewale tu kila siku ambao ndio mnadai kuwa aliwauwa kwa sababu ambazo hazina mashiko, nasema hivyo kwa sababu kwa jinsi ambavyo mnavyomkuza na hiyo sifa ya uuwaji kwa mtu ambaye ni kiongozi tena dikteta ni wazi kungekuwa na list ndefu ya watu aliyowauwa mbali na hao sijui maiti za kwenye viroba ambao ni watu wasiojulikana wala sababu za kuuliwa kwao.
Wewe unazungumzia mabadiliko ya mfumo wakati mada inazungumzia aina ya kiongozi.Hapana, Tanzania haihitaji rais aina ya hayati Magufuli. Yule alikuwa doa na unajisi kwa ardhi ya Tanzania; hususan jamii Watanzania wenye utu.
Kwa nini nasema hivyo?
1. Kama alikuwa "solution" hata kwa robo ya matatizo uliyotaja, na leo amekufa na yenyewe yapo - then he was, undeniably, a complete failure.
2. Kwa vile unakiri kuwepo kwa hayo matatizo na yeye hakuyamaliza na sasa hayupo wala hawezi kurudi tena; basi hata akija mwingine kama yeye ataishia kupata matokeo hayohayo, ni jina tu ndio litabadilika lakini kushindwa na matokeo vitakuwa vile vile. That's logic.
3. Lakini akija kiongozi wa ukweli, sio mtawala au dikteta kama hayati Magufuli, yeye ataweka Katiba nzuri, Sheria kali na za haki, mifumo thabiti na himilivu, mazingira na utashi - vitakavyosababisha mabadiliko ya fikra, utamaduni na matendo yenye faida, ufanisi na maendeleo ya kudumu kwa vizazi.
Huyu akiondoka mambo yataendelea vizuri, legacy itazidi kuimarika kwa vizazi vijavyo.
Tulia uandike vizuri hoja zako, maana umejichanganya mno hapo kwenye andiko lako.UONGO mwingine huu unaojificha kwenye jina la USOMI.
Historia na Takwimu za nyumbani kwako, ukaambiwe na mgeni? UPUUZI. Kazaneni kupiga, mnajadili based on how mmevimbiwa sio?
Uchumi umekua ila hamkuvuka daraja, KIPINDI tulichovuka mstari MTASEMA ni juhudi za nyuma sio?
FACTS na EVIDENCES ni ripoti ya CAG, amesema, UBADHIRIFU huo, haujawahi tokea tangu ADAM na EVA waliumbwa
Akili kijiko cha chai inachangia ajenda kubwa. Chefuuuu!!Awe kama magu lakini
1. asiwe muuaji.
2. mbambikiaji kesi watu,
3. anayetumia majambazi kuongoza (refer Sabaya),
4. Asiyeiba kura,
5. asiye piga watu risasi.
Sina ushahidi mkuu kwamba aliuwa au hajauwa, na point yangu sio kuuwa tu maana hata kipindi cha Kikwete tuliona Ulimboka ilipangwa auliwe hilo wote tunajua hivyo hayo mambo yapo, ila Kikwete hajapewa sifa ya kiongozi muuwaji kama tunavyoona kwa Magufuli na hapo ndio hoja yangu ilipo kwamba kama Magufuli alikuwa na sifa ya kiongozi dikteta na muuwaji basi tungekuwa na list ndefu tu ya watu waliyouliwa na sio hivi tunaokoteza okoteza.Aliua hajaua?????
Ushahidi huu hapa
Ben sanane yupo wapi
Anzory gwanda yupo wapi
Watu waliuwawa KIBITI,MKURANGA, KISIJU NA MAFIA
Nani alimpiga risasi TL
Akwilin Akwilin Alipigwa risasi na nani kwa amri ya nani?
Mpaka uwe mpumbavu ndiyo utadai ushahidi dhidi ya serikali ile ya ki dictata
Nao ni viongozi?Steve Jobs George Michael nk.
IGP huteuliwa na nani?Duh! Kwahiyo hadi Akwilina nae kauliwa na Magufuli?
Sasa kama ni hivyo basi hakuna kiongozi asiyekatili na muuwaji.IGP huteuliwa na nani?
RPC huteuliwa na nani
Ocd huteuliwa na nani?
DED huteuliwa na nani?
Wote hawa ni chanzo cha kuuwa kwa AKWILINA kama hujui? Unafikiri kuua mpaka ufyatue risasi???
Ndio Mmoja alikuwa kiongozi wa Apple na mwingine kiongozi wa Bendi.Nao ni viongozi?
Hii ndio ilikuwa hoja yako ya msingi boss, ulijificha ficha!Common sense tu inakataa huo uhuni wenu na legacy fake ya Mwendazake. Fact.
Ulikuwa wapi wakati wa ile operation ya MKIRU? unajua ni kiasi gani cha watu walipotea kule hadi leo hawajulikani walipo au unaongea tu kama upo bar?Sina ushahidi mkuu kwamba aliuwa au hajauwa, na point yangu sio kuuwa tu maana hata kipindi cha Kikwete tuliona Ulimboka ilipangwa auliwe hilo wote tunajua hivyo hayo mambo yapo, ila Kikwete hajapewa sifa ya kiongozi muuwaji kama tunavyoona kwa Magufuli na hapo ndio hoja yangu ilipo kwamba kama Magufuli alikuwa na sifa ya kiongozi dikteta na muuwaji basi tungekuwa na list ndefu tu ya watu waliyouliwa na sio hivi tunaokoteza okoteza.
Kwakifupi tu nimalize kwa kusema Mungu ni fundi...uwe na siku njemaSina ushahidi mkuu kwamba aliuwa au hajauwa, na point yangu sio kuuwa tu maana hata kipindi cha Kikwete tuliona Ulimboka ilipangwa auliwe hilo wote tunajua hivyo hayo mambo yapo, ila Kikwete hajapewa sifa ya kiongozi muuwaji kama tunavyoona kwa Magufuli na hapo ndio hoja yangu ilipo kwamba kama Magufuli alikuwa na sifa ya kiongozi dikteta na muuwaji basi tungekuwa na list ndefu tu ya watu waliyouliwa na sio hivi tunaokoteza okoteza.
Ila hapa tunataka kiongozi wa nchi, hakuna mfano wa rais shoga aliyefanya vizuri kwa sababu ni shoga?Ndio Mmoja alikuwa kiongozi wa Apple na mwingine kiongozi wa Bendi.
Atal Behari Vajpayee na Hastings Kamuzu Banda walikuwa ni Makhanisi na walitawala vizuri.Ila hapa tunataka kiongozi wa nchi, hakuna mfano wa rais shoga aliyefanya vizuri kwa sababu ni shoga?
Fact ni nini? Evidence ni nini?Hii ndio ilikuwa hoja yako ya msingi boss, ulijificha ficha!
Facts na evidence ya ulivyoviandika HUNA.
Ndio ueleze ufahamike usiishie kutoa tuhuma za jumla jumla tu sio kila mtu ana mtazamo sawa na wewe.Ulikuwa wapi wakati wa ile operation ya MKIRU? unajua ni kiasi gani cha watu walipotea kule hadi leo hawajulikani walipo au unaongea tu kama upo bar?