Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Aliua hajaua?????
 
Wewe unazungumzia mabadiliko ya mfumo wakati mada inazungumzia aina ya kiongozi.
 
Taifa linahitaji mfumo dhabiti wa utawala wa nchi na si Rais. Mfumo utajengwa kwa kupitia Katiba bora inayoendana na wakati uliopo sasa.
 
Tulia uandike vizuri hoja zako, maana umejichanganya mno hapo kwenye andiko lako.

Tambua tu kuwa "takwimu" zenu mnazopika na kuziamini ndio zimekufikisha hapo.
Hakuna mtu au taasisi yoyote yenye kuhodhi ukweli. Takwimu zozote zile huwa subject/open to criticism (good or bad, positive or negative); tawimu hupingwa na takwimu na vigezo vipo.
Sijui kama unaelewa.

Fikra zenu zimeharibiwa, ndio maana propganda mnaita Facts na Takwimu. Mnaishi kwa hisia na mihemko inayotokana na brainwashed education mliyopata. Ukibaki hapo utakufa na huo upumbavu, ukijinasua utakuwa na matumaini siku zijazo. Chagua mwenyewe.

Twende kazi.

1. Kama "takwimu" zenu za ndani zilikuwa za kweli sasa media censorship ilitoka wapi?

2. Kama mliyokuwa mnayafanya yalikuwa mazuri kwanini kusigina Katiba na sheria za nchi awamu ile ya 5? Hakuna bunge live, hakuna mikutano ya siasa, hakuna uhuru wa maoni wala kupata habari hurt (hofu ya kujua ukweli) nk vilitoka wapi?

3. Wakosoaji wa serikali na wa matendo yenu maovu kuitwa "wasaliti" nk- ilikuwa ni mwendo vitisho, ukatili na propaganda. Why?

Common sense tu inakataa huo uhuni wenu na legacy fake ya Mwendazake. Fact.
 
Awe kama magu lakini

1. asiwe muuaji.

2. mbambikiaji kesi watu,

3. anayetumia majambazi kuongoza (refer Sabaya),

4. Asiyeiba kura,

5. asiye piga watu risasi.
Akili kijiko cha chai inachangia ajenda kubwa. Chefuuuu!!
 
Aliua hajaua?????
Sina ushahidi mkuu kwamba aliuwa au hajauwa, na point yangu sio kuuwa tu maana hata kipindi cha Kikwete tuliona Ulimboka ilipangwa auliwe hilo wote tunajua hivyo hayo mambo yapo, ila Kikwete hajapewa sifa ya kiongozi muuwaji kama tunavyoona kwa Magufuli na hapo ndio hoja yangu ilipo kwamba kama Magufuli alikuwa na sifa ya kiongozi dikteta na muuwaji basi tungekuwa na list ndefu tu ya watu waliyouliwa na sio hivi tunaokoteza okoteza.
 
Mfumo ni nini?
Kingozi ni nini?

Hebu fafanua/nyambulisha zaidi hoja yako tafadhali
 
Duh! Kwahiyo hadi Akwilina nae kauliwa na Magufuli?
 
Duh! Kwahiyo hadi Akwilina nae kauliwa na Magufuli?
IGP huteuliwa na nani?
RPC huteuliwa na nani
Ocd huteuliwa na nani?
DED huteuliwa na nani?
Wote hawa ni chanzo cha kuuwa kwa AKWILINA kama hujui? Unafikiri kuua mpaka ufyatue risasi???
 
IGP huteuliwa na nani?
RPC huteuliwa na nani
Ocd huteuliwa na nani?
DED huteuliwa na nani?
Wote hawa ni chanzo cha kuuwa kwa AKWILINA kama hujui? Unafikiri kuua mpaka ufyatue risasi???
Sasa kama ni hivyo basi hakuna kiongozi asiyekatili na muuwaji.
 
Ulikuwa wapi wakati wa ile operation ya MKIRU? unajua ni kiasi gani cha watu walipotea kule hadi leo hawajulikani walipo au unaongea tu kama upo bar?
 
Kwakifupi tu nimalize kwa kusema Mungu ni fundi...uwe na siku njema
 
Ila hapa tunataka kiongozi wa nchi, hakuna mfano wa rais shoga aliyefanya vizuri kwa sababu ni shoga?
Atal Behari Vajpayee na Hastings Kamuzu Banda walikuwa ni Makhanisi na walitawala vizuri.

Hayati Qaboos pia alikuwa ni mtawala asieuwa Wananchi wake.

James Buchanan Raisi wa 15 wa Amerika alikuwa Shoga mbobezi na alitawala vizuri.

I can go on and on...
 
Ulikuwa wapi wakati wa ile operation ya MKIRU? unajua ni kiasi gani cha watu walipotea kule hadi leo hawajulikani walipo au unaongea tu kama upo bar?
Ndio ueleze ufahamike usiishie kutoa tuhuma za jumla jumla tu sio kila mtu ana mtazamo sawa na wewe.
 
Tanzania haihitaji tena watawala Wachawi kama wa awamu ya 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…