Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Mengi sana
Avg ya magari 180 kwa siku kuingia ni mengi sana

Bajaj, guta piki piki piki no D yao imeanza mwaka Jana mwishoni Hadi Sasa imeshafika DL

Kwenye magari ilichukua miaka minne kufika DL
Mkuu nashukuru sana kwa kunikumbusha. Basi magari hesabu zitashuka zaidi na kua 517,824 kwa miaka 8 sawa na gari 64,728 kwa mwaka sawa na 5,392 kwa mwezi sawa na gari 180 kwa siku. Hatari sana.
 
Ivi namba D mwisho mwaka huu ..kwa hiyo kuanzia mwakani tutegemee namba E siyo?! Na gari ya mwaka 2000 au 2010 kushuka chini inaweza kuwa namba D kweli?
Hata combi ya 1957 inaeza kuwa no E kabisa ni usajili tu
 
Unaonaje muasisi wa jf Maxence Melo ukianzisha mchakato wa kuchangisha japo tsh elfu 2 kwa mwezi kwa kila member wa Jf, na kusaidia kutununulia magari wale tusiyonayo ili kuongeza uagizaji na pia kupunguza umaskini wa watanzania?

cc Maxence Melo
Kwaio hela ya kununua gari haipo je service ya gari, mafuta, bima ya gari nayo tutachangishana humu?
 
Kwaio hela ya kununua gari haipo je service ya gari, mafuta, bima ya gari nayo tutachangishana humu?
Hilo ni wazo tu mkuu.
Likipitushwa manaake ni kwamba utaratibu, vigezo na masharti vitawekwa.

Hivi zaidi ya kutuma na kuchangia post, JF ina program gani nyingine kwa jamii na kwa members?

Mi nadhani tunaweza kufanya zaidi!
 
Hii ni kwasababu gari serikali imeifanya kama luxury commodity,kodi inakaribia nusu ya bei ya gari...gari inauzwa Japan/UK kiasi cha $3000 hadi ifike Dar port yaweza kua $3500 ila sasa kuitoa hapo uwenayo mkononi kodi inaweza kua hadi $2500 utashangaa ile gari utaipata kwa $6000 ....iyo kodi waipunguze kwa nusu ili watu waagize magari kwa wingi pesa watapata tu kupitia kuuza mafuta,vipuri,parking kwenye maeneo ya manispaa nk ...
Gari kwa sasa ni kama tu simu ,pikipiki sio usafiri rasmi mana risk yake ni kubwa sana na ndio imekua kama usafiri rasmi sasa
 
Usivyo na akili huwezi kuelewa kua 999-100 ni 899.

Hesabu ndogo hivyo nayo inakushinda sasa utaweza kujadiliana na watu humu ukaelewa hoja zao?
Ulivyosema hapo kuwa namba zinaishia 899 ndio hapo ambapo haikuwa sawa kwa mana ya registration namba, ila kwa idadi ni sawa kusema hivyo, kumbuka ulivyosema.mwisho wa namba za usajili ni 899 hapo ndio kauli tuliyopingana na wewe.

Halafu kuwa na akili au kutokuwanazo ni huku mtaani ndio kunatupa heshima na si humu kila mtu mjuaji yeye amesoma sana ana mali na maisha mazuri ila tukikutana mtaani ndio kwenye heshima ya ukweli.
 
Hivi zinaanzia 100 au 101 hadi 999? Just asking.
101 -999 hapo inaanza moja kwenye 01 kutoka 01-999 hapo kama ni DMA inaisha ukianza DMB 101-999 inaisha tena inafata DME.
 
Nenda Masaki uzaona utajiri wa watanzani.
 
Nchi inanufaisha machawa ,Kupe na walamba asali vilaza flani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…