Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Na wengi itakuwa wanakufa tu na pesa zinapotelea huko.
Umasikini wa Kwanza wa viongozi wa kibongoland ni kuwa na afya mbovu.
Hawa Jamaa wakipataga tu uongozi wanaanza kunenepa Ile mbaya wengi wao wanakuaga wa duara,yaani fat and shapeless,nadhani ndio hapo akili zao huanza kupata kutu, na hapo unakuta ni Prof.ana PhD zake kadhaa,lakini eti anashindwa ku practise maisha yenye afya wao kutwa kuchwa ni kunywaa mabiere wanashindwa kutambua kula na kunywa sana bila mpangilio ni mwanzo wa kuanza kufa mapema,japo wote tutakufa lakini kufa Kwa kuanza kuharibu afya Tena Kwa mtu msomi huo ni umasikini.
 

Usafiri ndo gharama
 
Mkuu herufi ni 24 na sio 25. Kumbuka herufi I na O zinarukwa. Rudia upya calculations zako
Mahesabu si ndio yatakuwa chini zaidi? Ujumbe umeeleweka.
 
Hata kama ni kodi, bado haiondoi hoja ya jamaa....
Wenzetu mbona wanannunua mapya, gari ist inauzwa usd 25,000...

Kwahiyo idadi ya mdau aliyotaja, kuna watu wanamiliki gari zaidi ya moja....

Kwa kukadiria, watanzania wenye magari hawazidi 300,000
Acha kutushika wewe .. hao laki Tatu si babati tu unawapata..
 
Watu kwa ground wanauziana magari hum hum bongo, maelfu kwa maelf, kama huamn fuatilia utitili wa platform mbalimbal za madalali wanaopromote na kuuza magari ndipo utajua ukwel.

Kinachofanya watu wasiagize nje ni hiyo tabia ya kotoza kodi ndefu ambapo kihalali haikutakiwa iwe hivyo,so bora tuuziane humu humu
 
Badala ya kupima ukwasi wetu kwa exporting, wewe umetupima kwa importings.

Kweli ulienda shule kusomea ujinga
 
Kodi za kipuuzi kama hizi zinaua uchumi vibaya sana, na sio magari tuu huu ujinga ni kila kona na yule mporipori yuko busy kuongeza matozo kila siku, serikali inasafisha wananchi kuliko riba za mabenki
 
Magari mengi ndio utajiri?
Kuna jamaa kasaidia watu kama wewe kuewa hapo juu. Kaandika hivi.

expand...
Moja ya kipimo cha umasikini au utajiri (poverty & wealth ranking) ni kuangalia mali mtu anazomiliki kwa mfano nyumba (ya miti & udongo, ya matofali, nyasi fulu suti etc), baiskeli, Pikipiki, gari etc... Mfano kama wewe humiliki hata bodaboda au baiskeli, huna nyumba hata ya matope na nyasi wewe tayari una indicators za umasikini...
 
Badala ya kupima ukwasi wetu kwa exporting, wewe umetupima kwa importings.

Kweli ulienda shule kusomea ujinga
Nadhani umeandika ili uonekane unajua maana ya exports and imports ila havihusiani na hii mada kabisa.

Hii mada inahusu uwezo wa mtu mmoja mmoja kumiliki mali. Mojawapo ya mali anazopaswa kua nazo mtu ni pamoja na vyombo vya usafiri kama gari na gari hazitengenezwi nchini, lazima ziagizwe.

Exports/imports inaangalia uwezo wa nchi kuuza nje na kununua nje, nchi kama nchi sio individual.
 
Kununua gari ndo dalili ya ukwasi wa mtu binafsi?
Shule umetoka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…