Wakati mwengine nafikiri inatubidi baadhi ya desturi ziwekwe chini kwa mfano: Tamaduni zetu kumkosoa mkubwa hata kama kwa staha utakumbwa na tatizo.
Nachelea kusema ila viongozi wenye mamlaka ni tatizo kuu! Ukijaribu kuweka mambo sawa ni tatizo.
Nakumbuka baba yangu aligawa mabati kwenye shule fulani baada ya kuona mazingira ya hiyo shule hayapo vizuri, mbunge wa hilo jimbo akahisi Mzee anajiandaa ili achukue kiti chake.