Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Warabu sasa wamepata kichaka chao cha kujipitishia mizigo kinyemela kuja hapa nchini.

Nawaza jinsi wafanyakazi wa kitz kwenye hiyo bandari watakavyonyanyasika chini huyo mwarabu koko wa Samiya
Ngoja alili ziwakae sawa. Hao watz ccm wameendesha miaka nenda rudi mbona imewashinda kuendeleza?
 
serikali haiwezi kufanya biashara acheni wawakabidhi wawekezaji muhimu kuwe na ufuatiliaji na usimamizi wenye tija..
Uwekezaji wakubadilishana gololi kwa dhahabu mpaka leo ndio unaosikitisha.

Hakuna miujiza yoyote, kinachohitajika hapo ni extra cranes; hizo ndio zinapakuwa na kupakia mizigo.

Mengine yote magumu na yaliyokuwa ya gharama yatakayowezesha bandari kupaki meli nyingi kwa wakati mmoja na sehemu ya kuweka mashehena serikali ishatumia mabillioni kufanya huo uwekezaji.

Kilichobaki ni baadhi ya hizo cranes tu za kisasa ambazo azitoshi; zikipatina baada ya hapo it’s not rocket science on how efficient bandari itakavyokuwa, uhitaji mwekezaji kufanya hiyo kazi.

Mwisho wa siku sina tatizo vile serikali ku outsource sehemu ya hizo huduma, shida ni kutuka kujua return ya hao wawekezaji na kwa miaka mingapi watavuna; kwa hiko kidogo wanachoenda wekeza.
 
Hao DP hawataki kuchukua nchi yote ya Tanzania?? Ingekuwa vema wakapewa Tanzania yote waiendeshe/waiongoze.
 
Bandari ya Dar es salaam imefanyiwa uwekezaji mkubwa sana na Serikali ya awamu ya tano.
Hapa wangesema huyo mwekezaji anakuja na nini mezani na kwa mda gani ,na kwetu anategemea kupata faida gani na ssisi tutapata faida hani...
Na vipengele vya mkataba husika.
Nnje ya hapo ni wizi tu na siasa zisizo na maendeleo kwa nchi.
 
Acheni ujima nyie,huko ulaya kwenyewe bandari zinaendeshwa na wawekezaji na sio serikali,hao DP world wanaendesha bandari nyingi tu ulaya yan mje kulalamika kwa iko kibandari chenu uchwara,ngojeni waje hao DP muone kama kuna meli itakaa bandarini siku 3 au wiki kule out anchor kusubiri kuingia bandarini,hao meli ndani masaa tu ishadischarge na kuondoka na nyingine inaingia,acheni upuuzi na ujuha
Acha uongo USA almost ports zote zipo chini ya Serikali.
 
Ni zamu ya wajomba hii.

Kwa Zanzibar wameshapewa shughuli hapo airport.
 
Yaani Dubai waje kuendeleza bandari Tanzania??

Huu ni ulemavu wa aina Gani lakini??

Hawa wasomi wanaomaliza vyuo kila siku wanafanya nini na elimu zao??

Mbona huko ulaya hawatuiti tukaendeleze za kwao??
Taifa la wajinga hili, kila mtu akipewa kazi anaanza mipango ya wizi badala ya kuonyesha ubunifu wa kujenga taasisi au nchi.
 
Hii Inji ya kijinga kweli , Sijui kwann JPM alofariki.


Ni hasara sana Nchi kutongozwa na Vilaza wasokua na ubunifu ,na ambao akili zao zote zimeelekes kwenye kubebwa bebwa na misaada..

Sasa DSM anapewa mwarabu, Bagamoyo Mchina...


Katika Mataifa ya wenye Akili, Kuna Mahali ni LAZIMA paendeshwe na Serikali , ni LAZIMA.
Hilo jinga limekufa kwa ubwege wake na ushamba
 
Yaaanii me nashanga...wamegharamiikia kuongeza gati wamenunua na mshine za kisasa (ship to shore gantry crane) na hazijaanza ata kaziii ndo kwanzaaa zinamalizikia installation na wametumia gharama kubwa sana kununua izo mashine mpk walipeleka watu trainning ireland..leo wanabinafsisha kwelii?? dah
Dah!...
 
Serikali imefanya kazi kubwa kuwekeza mabillioni ya hela kuongeza kina cha kupokea meli; sasa hivi bandari ya Dar inaweza pokea meli ya ukubwa wowote.

Shughuli iliyobaki ni ndogo ya kuongeza cranes za kisasa za kutolea mizigo kwa kasi nchi ipate hela zote hizo wenyewe; muda huo ndio wanaenda tafuta mwekezaji.

Only in Tanzania
Kwa aina ya bunge letu ndio imeshapita hiyo.
 
Back
Top Bottom