Mie nachokiwaza ni kwamba:
Katika hali ya kawaida tu ni mtu gani ambaye hapendi mafanikio yaende kwao?
Kwamba nami sitaki mafanikio yaende nyumbani?
Nitakuwa kichaa
Swali la msingi:
Japokuwa kuna mambo ya Muungano na yale yasiyo ya Muungano
Ikiwa kweli hao viongozi akiwemo huyo Rais na Mbarawa
wanaamini kuwa kwa kufanya hicho walichokifanya kitaongeza Mapato, ajira, ufanisi na ujuzi kwa wazawa na nchi kwa ujumla wake.
Je, kwanini na znz pia Bandari zake wasingeipatia hiyo Dubai?
kwanini wasingemwambia Rais Mwinyi kuwa tunahitaji znz watu wetu nao pia wapate ajira, ujuzi, ufanisi na mapato?
Ila kwa kuwa wanajua ukweli uliopo nyuma ya pazia ndiyo maana hawawezi shauri jambo kama hili znz
Hapa ndipo watu tunasema kuhusu uzanzibar na utanganyika!
ndani ya siku 1 unasaini mikataba 37 Dubai
Kweli Jambo la kheri msishauri na upande wenu wa znz wafanye hivyo ili nao wanufaike?
Nani hataki faida au manufaa yaende kwao?
hata sijui
Tulimkosea nini Mungu wetu