Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hazipotei.Zinatumika na kuingia kwenye mzunguko wa fedha nchini.Zisipokuja ndiyo utajua umuhimu wake.Hazitusaidii chochote sababu hela zinazopotea kwenye njia za panya ni nyingi kuliko hizo, hivyo zikikosekana pengine watawala watajua kubana matumizi.
Hata maana Service level hujui halafu unasema MSD inahudumia SADC ?Una maanisha nini unaposema service levy?
Si ndio wakina mwigulu au umesahau alipotufikisha? Tutegemee mpaka kodi ya kichwa kurudiNi wakati sasa wa wataalamu wetu wa health economics and financing kuonyesha uwezo wao.
Nchi haiwezi na haijawahi tegemea 80% ya Bajeti yake Kwa wahisani usilete propaganda zako hapa.Acha ujinga tusije kuandika yasiyotakiwa kuandikwa humu. Utekelezaji wa bajeti wizara ya afya unategemea wafadhili.
Usipende kupewa hela ya kula penda upewe akili ya kutafuta hiyo hela ili uwe mtu wa kujitegemeaHazipotei.Zinatumika na kuingia kwenye mzunguko wa fedha nchini.Zisipokuja ndiyo utajua umuhimu wake.
Jibu maana ya service levy huko MSD una maanisha nini na Mimi nikupe Nchi ambazo MSD ina supply dawa Kibiashara.Hata maana Service level hujui halafu unasema MSD inahudumia SADC ?
Amesema service levy sio level..Nachojua service levy ni ushauri wa Huduma Sasa ana maanisha nini kwenye hoja yangu.?Level=kiwango/aina/kikomo
Sasa hizo akili za kutafuta mnazo?Usipende kupewa hela ya kula penda upewe akili ya kutafuta hiyo hela ili uwe mtu wa kujitegemea
Nimeandika service level na sio service levy mbona wewe ni mgumu sana kuelewa😡Jibu maana ya service levy huko MSD una maanisha nini na Mimi nikupe Nchi ambazo MSD ina supply dawa Kibiashara.
Nenda nae polepole tunatofautiana uwelewa 😂Nimeandika service level na sio service levy mbona wewe ni mgumu sana kuelewa😡
Choicevariable msome tena Tony Cipriano.MSD hii ambayo service level haifiki hata 50%
Na wanachoamini mabeberu ni kuwa afadhali ku fund NGOs fedha zinaweza kutumika vizuri kuliko kuwapa serikali, ujue hawa wazungu wanaziona serikali zetu kama tu organized criminals.Lakini hizo hela haziingii Wizara ya Afya Bali zinapitia vi NGOs uchwara so hata wakikata hakuna shida
Wewe ndio unaleta propaganda tunajua mnavyogeuza maneno. Mfano ile COVID relief fundNchi haiwezi na haijawahi tegemea 80% ya Bajeti yake Kwa wahisani usilete propaganda zako hapa.
Wewe uko hapa Tanzania Huwa zinatumika vizuri na hao NGOs?Na wanachoamini mabeberu ni kuwa afadhali ku fund NGOs fedha zinaweza kutumika vizuri kuliko kuwapa serikali, ujue hawa wazungu wanaziona serikali zetu kama tu organized criminals.
TunazoSasa hizo akili za kutafuta mnazo?
Huu ndo ukweli.Na wanachoamini mabeberu ni kuwa afadhali ku fund NGOs fedha zinaweza kutumika vizuri kuliko kuwapa serikali, ujue hawa wazungu wanaziona serikali zetu kama tu organized criminals.
Inaonekana kama hauna taarifa za kutosha kuhusu kazi wanazofanya NGOs, generally kuzuia funding kwa NGOs kwa gafla namna hii kutakuwa na implications kubwa zaidi kwa jamii kuliko unavyofikiri.NGOs hawajawahi kuwa na Tija,wanatumia zaidi ya Trilioni 5 Kwa mambo Yao lakini hakuna Tija yeyote zaidi ya kulipana posho.
Nilitegekea hao NGOs wangekuwa Wana supplement miradi ya serikali ila hawafanyia hivyo zaidi ya porojo na stori za Heshima sijui Kampeni zisizo Isha and such non sense
COVID ni mambo ya dharura kama Marburg hapo ni lazima WHO na wengine waingilie Iko hivyo Duniani koteWewe ndio unaleta propaganda tunajua mnavyogeuza maneno. Mfano ile COVID relief fund
Sawa.Sasa mzitumie kikamilifu.Tunazo
Sijawahi wakubali na hakuna Cha maana wanafanya zaidi ya kueneza ushogaInaonekana kama hauna taarifa za kutosha kuhusu kazi wanazofanya NGOs, generally kuzuia funding kwa NGOs kwa gafla namna hii kutakuwa implications kubwa zaidi kuliko unavyofikiri.