Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Hizo Bajeti zenu za Kwenye Makaratasi
 
Ukiacha furaha zenu za kipumbavu na kejeli hizo fedha zinagharamia operation cost (gharama za uendeshaji) kwa hizo taasisi za misaada ambazo zimeajiri wageni na Watanzania wa fani mbali mbali madereva,madaktari,ustawi wa jamii,wahasibu,walimu,wafanya usafi,wahudumu waendesha ofisi,wasimamizi wa miradi,wasimamizi wa ofisi,mainjiania,mameneja n.k.
Pia kuna zahanati Kila Kijiji, kata na wilaya, kuna chanjo nyingi za bure zaidi ya tano zinatolewa kwa kila mtoto anayezaliwa ambazo wa miaka kadhaa zimeonyesha mafanikio kiasi cha Sasa ni vigumu kuona watoto au watu walemavu (viwete) wenye mtindio n.k

Kuna waathirika wa VVU/UKIMWI ,TB n.k ambazo wanapokea dawa hizo bure na misaada mengine ya magonjwa. Kuna miradi ya kuhamasisha au kuelimisha kuhusu afya kama Ile ya kupambana na vikope au kutahiri ambayo imewaokoa jamii mbali mbali mfano Wasukuma na wagogo. Kuna wazabuni mbalimbali ambazo wanaenda kupoteza baishara zao


Tujifunze kushukuru na kuona athari chanya kwenye jitihada za wengine kingine tafuteni taarifa sahihi kabla ya kuonyesha hisia hasi
Hela za MSAADA tunalipa gharama za kampeni, tume isiyo na majibu ya kuchunguza kifo cha Mzee Kibao, Posho za Abduli etc tutanyooka awamu hii.
Lakini hizo hela haziingii Wizara ya Afya Bali zinapitia vi NGOs uchwara so hata wakikata hakuna shida
Watu wapuuzi walikuwa wanalipana posho tuu hizo hela,Bora zikatwe na nimewahi weka Uzi humu Jf.

e
 
Ccm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…