Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Zinatumika kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na ;
1. Kulipa posho za watekaj
2. Kulipa machawa wajenge maghorofa.
3. Kununua wapinzani.
4. Kununua mitungi ya gesi na kuigawa kwa Watanzania maskini Ili wabashane kwa kura.
5. Kununua V8's new model
8. Kumpa Wasira mabulungutu atembee nayo.
9. Kumpa Addul awatulizie wenye mdomo
 
Ccm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
Lissu peke yake ndie ataweza.
 
Ccm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
Kwanza lazima muelewe kwamba sio Kila Msaada Nchi inaomba ila misaada Mingi wanatoa wenyewe Kwa sababu 🇹🇿 inachukukiwa kama mashirika wa kimkakati so lazima tugombaniwe.

Wakileta hela utakataa?
 
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
Mwamba Mbowe atatuvusha
 
Back
Top Bottom