Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #101
Ni hela nyingi sasa.bado 2023 tulisaini mkataba wa miaka 5 wa 1.1 bilion $ kwenye sekta ya elimu,maendeleo,democracy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hela nyingi sasa.bado 2023 tulisaini mkataba wa miaka 5 wa 1.1 bilion $ kwenye sekta ya elimu,maendeleo,democracy
Inasikitisha sanaCcm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
Lissu peke yake ndie ataweza.Ccm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe anasema: “Sitakubali kuvishwa koti la uzalendo katika suala (hili) la MCC na hilo ni suala la CCM. Kukosa misaada ya Marekani..."
Kwanza lazima muelewe kwamba sio Kila Msaada Nchi inaomba ila misaada Mingi wanatoa wenyewe Kwa sababu 🇹🇿 inachukukiwa kama mashirika wa kimkakati so lazima tugombaniwe.Ccm iwekwe pembeni wameshindwa kazi, nchi inaaibika kwa misaada ya mabeberu wakati kuna rasilimali za kutosha kiasi cha kutotegemea misaada hiyo. Kije chama kingine chenye viongozi wenye sera mpya za kutumia rasimali za nchi kujitegemea
Zingekuwa Ngo uchwarwa zisinge sajiliwa. Anae nufaika nazo ni mtanzaniaLakini hizo hela haziingii Wizara ya Afya Bali zinapitia vi NGOs uchwara so hata wakikata hakuna shida
Kununulia CONDOMShela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?
Mabeberu wanalazimisha usajili wakeZingekuwa Ngo uchwarwa zisinge sajiliwa. Anae nufaika nazo ni mtanzania
Katibu Mwenezi wa Taifa wa chama cha NCCR – Mageuzi na mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, David Kafulila naye anasema: “Ingekuwa tumenyimwa fedha kwa kukataa ushoga ingekuwa ni fahari kwetu, lakini katika suala la kuvunja demokrasia ni aibu”.
Yaani huyu dogo ni chawa mno wa ccm .anakera mnoMvumilie choice variable maana hata ukimuuliza sasa hiyo trillion Moja Ina sifuri ngapi baada ya Moja, hawezi kujibu Kwa ufasaha.
Mwamba Mbowe atatuvushaKisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.
Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.
Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.
Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
nani anafanya ngono kiasi cha kuhitaji condom?Kununulia CONDOMS
Mkuu mbona unapoteza muda kubishana na wajinga?Trilioni moja huwa serikali inatumia muda gani kuzitia mkononi?
Simple eh!Ndio ukweli huo.Sasa wewe Kwa akili Yako unadhani Nchi itashindwa au? Si unapunguza tuu Baadhi ya maeneo na kuleta huku ama? Eg kwenye Barabara
Sizitaki mbichi hiziBusara za Mwalimu Nyerere pia zimo katika Kitabu cha Azimio la Arusha aliposema: “…Ni ujinga zaidi kufikiria kuwa tutajikomboa kutoka kwenye umasikini kwa kutegemea misaada ya kigeni badala ya juhudi zetu wenyewe” (mwisho wa kunukuu)