Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545

Tujiandae kwa changamoto mbele ya safari. Tuwe na nidhamu ya matumizi ya hela za makusanyo yetu. Mtegemea cha ndugu hufa maskini.
Tunaanza kukwama kama hawa wafadhili wakigoma
 
Tanzania tulikuwa tunapata hela za directly kuingia Serikalini wakati wa JK via MCC ila tulishaondolewa pale ndiko tulijenga Barabara,umeme nk

Baada ya hapo ni stori za uongo na ukweli via NGOs which has no significance Kwa Government.

Mwisho hiyo ni Trilioni 1 tuu ,Sasa Tanznaia inashindwaje ku cover hela ndogo kama hiyo?
Yap hiyo MCC naikumbuka na ilikuwa inatupushi sana hapa nchini kwenye issues za kiuchumi na kijamii.
 
Kisiwa chetu cha Amani chenye Rasilimali nyingi kinapokea misaada ya mabeberu na Mabepari takribani Milioni 512 Kila Mwaka. Imeelezwa.

Gazeti la Euronews limetaja kuwa Tanzania itakuwa ni miongoni mwa nchi zitakazo athirika kutokana na Hatua ya Donald Trump na Elon Musk kusitisha misaada hiyo.

Gazeti hilo limeleza Tanzania yenye watu Milioni 65 linapokea kiwango sawa na Nigeria yenye watu 220Milioni.

Kalagha Bahooo........Hizi hela huwa zinaenda wapi mbona ni nyingi sana?View attachment 3224545
Hizi fedha nyingine zinaenda sekta ya afya lakini wanawake wanaoenda kujifungua wanaambiwa warudi waumezao wakawazalishe kwani hata surgical gloves hazipo, dah 🤔 kweli kuna mabingwa wanakula kwa urefu wa kamba zao na kamba zao ni ndefu mno.
 
Hawana maana hao ndio maana Mwendazake alitaka kuwafuta.GAP gani zaidi ya kula hela za misaada?

Hao watu Serikali ilisema wapitiehie hela kwao na zikaguliwe wakagoma so hapa Trump kufanya vizuri mnooo.
Serikali ilibanwa isiweze kuzipiga na iliumia sana(wale waliotegemea kuwa wanazimega na kuzitafuna walichukia mno) ila NGO zimeajiri watu wengi na circulation ya fedha inakuwa iko na uafadhali, zikiwa chini ya usimamizi wa serikali zitapelekwa sehemu zisizo sahihi.
 
Hizi fedha nyingine zinaenda sekta ya afya lakini wanawake wanaoenda kujifungua wanaambiwa warudi waumezao wakawazalishe kwani hata surgical gloves hazipo, dah 🤔 kweli kuna mabingwa wanakula kwa urefu wa kamba zao na kamba zao ni ndefu mno.
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom