Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Kwani umekamatiwa Dar?
 
Kwa kweli haya si maamuzi sahihi na hiyo sheria imekaa kikatili ni bora ikaangaliwa upya,ni vyema tukaangalia ubinadamu na pia haileti picha nzuri kwa hawa jirani zetu. Ni dhahiri hawatajisikia vizuri na mambo kama haya yanazidisha choko choko kama majuzi nao walivyokataa kununua mahindi yetu.
 
Mimi hata viumbe vingine naogopa kutoa uhai wao kwa kuwagonga kwa gari. nilishagonga paka nikasali kwa kumuomba Mungu anisamehe
Wengine hatuli hata nyama kwakuwa tunavaa uhusika, fikiria ng'ombe, mbuzi, kuku, kondoo wanavyohangaika mioyo wakiona wenzao wanachinjwa, au hata binadamu akichinjwa na gari
 
Unaweza kuwaza zaidi ya hapo mzee jikaze.. Umepewa akili kutumia sio ushikiwe na watu

Tuletee hiyo Research hapa tuichambue..
Nenda kasome kwenye ans za Bunge kila kitu huwa zinawekwa kabla sheria haijapitishwa!
 
Sheria ifuate mkondo wake fullstop.
 
Haya ndiyo maeneo ambayo jiwe alikuwa anajipatia umarufuu, yaani ndani ya wiki2 tangu jiwe afariki wafanyabiashara tayari mmeanza janja janja ya kukwepa kodi, hapana huyu ashughulikiwe vilivyo tena ikiwezekana anyongwe kabisa, ndiyooo huu ni zaidi ya uhujumu uchumi!
 
Kuchinja kunaambatana na ibada, si kuchoma moto viumbe wasio na hatia, vaa uhusika
Kabisa. Atakayechoma angekuwa anapewa adhabu avile mpaka viishe. Unakula na mifupa.
 
Kwa akili yako enzi za mwendazake, ukwepaji kodi ulikuwa hakuna? Hayo madudu ya bandari alikuwa hayupo?! Ni suala la muda tu huyu mama akiamua kweli afunue kote mlikokuwa mmefunikwa mtamuona huyo meko kumbe alikuwa hata zaidi ya JK!! Hizo ndege kila siku alikuwa anawaambia ni ma faida tu??
 
Mimi nawaambia hii ni laana endelea kuua viumbe wasio na hatia mtaambulia kaburi kwani vifaranga wana hatia gani? Magari mbona hamyachomi moto?
Mungu waunguze awa wauaji.
 
Vifaranga vinasambaza magonjwa kwa haraka sana mkuu. Ungekuwa umefanya biashara ya kufuga kuku ungejua ukweli huo. Nafikiri unajua ugonjwa wa mafua ya ndege.
Mbona ng'ombe hawakuchoma moto? Wale ng'ombe hawawezi kuwa na magonjwa?
 
Kulikoni kuvichoma vifaranga tumchome huyo mhujumu uchumi kwanza, tukimwacha ata endelea na hako kamchezo na kuisumbua nchi, na hivi ndivyo china inavyo fanyia wahujumu uchumi
 
Nasikia mahindi yamekataliwa kuvuka kwenda Kenya😪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…