Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,960
- 2,455
Wanyama haki yao kuliwaHaki za wanyama ziko wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyama haki yao kuliwaHaki za wanyama ziko wapi.
Mnataka kumpoteza Mama kama mlivyofanya kwa mwendazake. Mnaanza kumpa sifa za kijingaKama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
Sasa kama vimeshasafirishwa toka kenya hadi uvikamatie Dar, kama vina magonjwa, utayakwepaje?? Sio busara kuvichoma moto, muhusika apigwe faini, na kusimamiwa kuvirudisha vilikotoka!! Au vipigwe chanjo zinazotakiwa wajue cha kufanya, tatizo liko kwenye maamuzi mabovu yaliyofanywa huwezi kuzuia kuingizwa kwa vifaranga nchini wakati uzalishaji wake nchini hautoshelezi, waulize wafugaji wanavyopata tabu sasa kupata hivyo vifaranga!! Na masharti kibao kuwa ni lazima ununue chakula toka kwa muuzaji huyo, huwezi kulinda wazalishaji wa ndani wakati hawana uwezo wa kutosheleza mahitaji!!?Vifaranga vinasambaza magonjwa kwa haraka sana mkuu. Ungekuwa umefanya biashara ya kufuga kuku ungejua ukweli huo. Nafikiri unajua ugonjwa wa mafua ya ndege.
Usiue ili baadae uchinje ule ushibe.Vifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Na biblia ilisisitiza kulipa kodi na kutii mamlakaVifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Unaweza kuwaza zaidi ya hapo mzee jikaze.. Umepewa akili kutumia sio ushikiwe na watuWalioweka sheria walifanya research ya kutosha kufikia conclusion hiyo!
Sheria ifate mkondo wake, hii mambo ya double standards katika kutoa adhabu haitakiwi.Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.
Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.
Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?
Mimi hata viumbe vingine naogopa kutoa uhai wao kwa kuwagonga kwa gari. Nilishagonga paka nikasali kwa kumuomba Mungu anisameheVifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Hichi kitendo cha kuchoma kimekaa kiukatili zaidiVifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kua na vibali halali.
Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka. Japo vifaranga hivyo havijathibitika kua na magonjwa ila kwa kua vimeingia bila kibali vitachomwa moto.
Source ;ITV
Kwako huwa unapuliza dawa ya mbu?Mimi hata viumbe vingine naogopa kutoa uhai wao kwa kuwagonga kwa gari. nilishagonga paka nikasali kwa kumuomba Mungu anisamehe
Kha....Vifaranga vinasambaza magonjwa kwa haraka sana mkuu. Ungekuwa umefanya biashara ya kufuga kuku ungejua ukweli huo. Nafikiri unajua ugonjwa wa mafua ya ndege.
Ndiyo maana nimesema aadhibiwe mhusikaNa biblia ilisisitiza kulipa kodi na kutii mamlaka