Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Sawa mkuu. Hakika nakwambia madhara yatakayotokea na maamuzi hayo yatakuwa makubwa sana tu na naamini ipo siku watakuja na maamuzi ya kupinga maamuzi Yao na bado utawapongeza. Rangi nyeusi au mfanyabiashara kamwe haitaji busara ni kwambie tu ukweliProfessional hunters wanapopewa kibali cha kuwinda wanaambiwa kabisa aina ya mnyama watakaemuua na wanaambatana na wawindaji wa TANNAPA