Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Watoto huwatizama baba zao..........ukiwa kapuku ni 50 50 watoto kufanikiwa ama kufeli kimaisha ila ukiwa nazo 100 watoto nao kufanikiwa
 
Mtoto wa Bush, Rais wa Marekani,nae alikuja kuwa rais, mke wa bill clinton,hillary nae aligombea urais, Uhuru kenyata wa kenya, na baba ake alikuwa rais, na huko nako wanahitaji katiba mpya?
 
Mtoto wa Bush, Rais wa Marekani,nae alikuja kuwa rais, mke wa bill clinton,hillary nae aligombea urais, Uhuru kenyata wa kenya, na baba ake alikuwa rais, na huko nako wanahitaji katiba mpya?

Umesahau uchaguzi wa wizi na ujambazi wa 2019/20?

Rais wa 2025 humjui?

Rais wa 2030 naye je?

Umewasahau hawa nao?



Hivi mnatuona je lakini?

Nani asiyejua yote hayo ni kwa mujibu wa katiba iliyopo?

Tunataka Katiba mpya subiria kidogo kumsikia mama akikutaarifu kujiandaa kisaikolojia.
 
Halaf zinahimiza wengine wajiajiri, na hapo hapo wanaendesha kampeni ya kuchoma moto masoko🤦
 
Ushauri bora mno huu!
 
Bado kitambo kidogo nao watakuwa wa kawaida tu
Mwl alikoroga udongo akasemaaaaa ( usultani ufamle havina nafasi kwenye ardhi ya Tz)
Acha wajitutumue lakini muda ni mwalimu mzuri sana
 
We' jamaa mwenzako Extrovert yupo wapi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie wawili ni wasumbufu sana
Si ndo wewe umeamua kuja na id mpya baada ya mods kukuchosha kwa ban!..
Unajiita uvimbe na watakuvimbisha kinyama..😎
 
U romantic kwenu, hapa ni kit#mb# tu. Big up kwa Mondi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…