Kidabwenge
Member
- Oct 20, 2019
- 20
- 58
Kwa sasa hv kote kote Hali ni hiyo hiyo TU Mkuu point ya msingi kuwa shetani amelenga sana sana watoto wa kizazi hiki na ndo mana Ili awapate watoto anavuruga kwanza ndoa Ili awapate watoto. Tusali sana wakuu Hali ni mbaya.Me naamini hii 50/50 ipo mjini tu ukienda uko vijijini hali ni tofaut kwenye ilo