Tanzania kuna tatizo very serious kuhusu hiki tunachokiita mahusiano hasa ya ndoa, tumekosea wapi? Nini kifanyike?

Tanzania kuna tatizo very serious kuhusu hiki tunachokiita mahusiano hasa ya ndoa, tumekosea wapi? Nini kifanyike?

Wanajukwaa Mimi binafsi ni mfuatiliaji mzuri wa mambo mengi tu, mpaka nimeleta Uzi huu nimejiridhisha kuna tatizo sehemu au kuna kitu sisi binadamu au niseme Watanzania kuna sehemu tumekosea, sitaki kuhusisha dini labda Mungu tu ndio tumuhusishe.

Katika utafiti wangu usiyo rasmi nimeshuhudia watu waliokosa connection na kujikuta na hali ngumu kiuchumi ndoa zao zimekuwa ndowano, labda nikajidanganya hawa tatizo ni pesa tushauriane kutafuta pesa, kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe.

Mimi Kwa nafasi yangu katika jamii najichanganya na watu wa hadhi zote, nimekuja kubaini kumbe hata matajiri, hapa namaanisha matajiri kweli siyo kumiliki gari na nyumba, wote wana matatizo makubwa kwenye ndoa zao, na cha kusikitisha tatizo siyo usaliti kwamba wanagongewa wake zao hapana, Bali maelewano hakuna ndani ya nyumba, je tatizo liko wapi? Wanaume tumekosea wapi kuwaelewa wanawake? Iweje asiye na pesa na kwenye mihela wote wana kilio kimoja?

Nimeandika hii thread Leo baada ya kukutana na mwanangu mmoja tumepotezana miaka kibao nilipomuuliza Shemeji anaendeleaje akanijibu tumeshamwagana, Sasa kuanza kujumlisha watu ninaowafahamu wengi wamemwagana na wapendwa wao Tena ukifuatlia hakuna kesi ya usaliti wa ndoa au Mke anagongwa nje nimepata taharuki kubwa sana, tatizo liko wapi? tumekosea wapi ili tunusuru hizi familia ambazo bado hazijasambaratika?

Mimi naamini kuna tatizo sehemu ila sijui tatizo liko wapi ingawa wanawake nawabebesha sehemu kubwa ya lawama katika hili.

Wananzengo, nini kifanyike kunusuru ndoa za kizazi hiki?

N:b, hapa sijahusisha boy friend na girl friends naongelea wana ndoa, tatizo liko wapi?

Ndoa inawashinda watu waliacha mfumo Dume hiyo ndio Siri nakupa.

Jamii zote zinazofuata mfumo Dume Ndoa kwao ni Jambo dogo tena la kawaida sana/jepesi.

Ukishaleta mambo ya Dini na usomi kwenye ndoa umekwisha, labda dini ya kiislam ndio Dini makini katika mambo hayo. Lakini Ukristo umefeli vibaya Kwa sababu katika ndoa haupo Halisi Bali mawazo ya kipuuzi tuu.
 
Kisaikoloji Wanawake wanataka mwanaume dikteta, sasa dini na elimu ukiwa navyo huwezi kuwa dikteta. Wanaume madikteta wake zao wamenyooka kwenye reli awaleti hata fyoko, tofauti na sisi madiplomatic. Ukiwa diplomatic uwe na pesa utasumbuliwa usiwe nayo utasumbuliwa pia.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Walienda kuonana na shetani mapangoni bagamoyo wazo lilitolewa na magwiji wa fani ya ndumba na ulozi lengo ni kwenda kuomba jinsi ya kuwaondoa wazungu, shetani akawaambia SAwa uhuru mtapata lakini sharti muwe masikini wale wazee wakakubali ndo shetani akawapa mwenge, mmoja wa wazee akatolewa kafara humo humo. Ndio asili ya mwenge na umasikini wa nchi. Na mikoa yote iliyofanya matambiko watu wake uwezo wao wa kufikiri upo chini sana na hawatokuwa na maendeleo japo raslimali kedekede, Lindi, Pwani, Tanga, Tabora. Hii nchi inatakiwa iwe formated upya ya kuvunja Laana zote.
Hivi ni kweli au !?
 
Hivi ni kweli au !?
Ni kweli tupu, Watanzania bila kuuteketeza ule mwenge na kuutupa MTO Kagera nchi hii imelaaniwa na iko chino ya shetani.

Nawashangaa hawa matapeli wanaojiita viongozi wa dini kutolikemea hili na wanalijuwa, wamelewa bahasha za kaki.

Waislamu ndio wanahusika na ushirikina huu wakiongozwa na Forojo Ganze wa kuikabidhi nchi yetu mikononi mwa shetani wakishirikiana na Nyerere.

Tumefanya makosa makubwa kuacha Sheikh Yahya Hussein mpaka anakufa bila kumuhoji wakati yeye alikuwa miongoni mwa wale washirikina waliokwenda Bagamoyo kuongea na shetani ndani ya mbuyu.

 
Upagani umeletwa na Nyerere, mbio za mwenge ni ushirikina unaopaswa kupigwa vita na kila mtu kwenye akili timamu bila kujari itikadi ya vyama na kidini.

Ingawa ukweli uliowazi ushirikina wa mwenge umeletwa na waislamu ndio walimshauri Nyerere kutumia ushirikina huu baada ya kupokea maagizo ya mizimu pale Bagamoyo.

Kwa bahati mbaya Sheikh Yahya Hussein ndio alikuwa mtu wa mwisho kufariki katika wale washirikina 6, waliokwenda Bagamoyo kwenye mbuyu kufanya tambiko na kuikabidhi Tanganyika mikononi mwa shetani, watu wameshindwa kumuhoji akiwa hai.
Wala hujui kuhusu mahusiano ya ndoa kwa akili fupi kama hii...kama watanzania wote fikra ziko hivi hata ndoa itavunjika asubuhi ya fungate
 
Back
Top Bottom