Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Uislamu umefaulu kwa kuwanyima wanawake elimu ya jumla ya dini na zaidi huko mwanamke hana lolote ni kifaa cha ngonoNdoa inawashinda watu waliacha mfumo Dume hiyo ndio Siri nakupa.
Jamii zote zinazofuata mfumo Dume Ndoa kwao ni Jambo dogo tena la kawaida sana/jepesi.
Ukishaleta mambo ya Dini na usomi kwenye ndoa umekwisha, labda dini ya kiislam ndio Dini makini katika mambo hayo. Lakini Ukristo umefeli vibaya Kwa sababu katika ndoa haupo Halisi Bali mawazo ya kipuuzi tuu.
Shetani hawezi kupambana na watu ambao tayari wapo katika himaya yake Kama unabisha jiulize ni kwa nini nini