Kidabwenge
Member
- Oct 20, 2019
- 20
- 58
Kwa sasa hv kote kote Hali ni hiyo hiyo TU Mkuu point ya msingi kuwa shetani amelenga sana sana watoto wa kizazi hiki na ndo mana Ili awapate watoto anavuruga kwanza ndoa Ili awapate watoto. Tusali sana wakuu Hali ni mbaya.Me naamini hii 50/50 ipo mjini tu ukienda uko vijijini hali ni tofaut kwenye ilo
Mtihani mkubwa sanaKwa sasa hv kote kote Hali ni hiyo hiyo TU Mkuu point ya msingi kuwa shetani amelenga sana sana watoto wa kizazi hiki na ndo mana Ili awapate watoto anavuruga kwanza ndoa Ili awapate watoto. Tusali sana wakuu Hali ni mbaya.
Wewe dogo fala Sana ha ha haaa ukihama hapo kwa shemeji yako utakuwa na akiliWalimu kila kitu mnalalamika
Upagani umeletwa na Nyerere, mbio za mwenge ni ushirikina unaopaswa kupigwa vita na kila mtu kwenye akili timamu bila kujari itikadi ya vyama na kidini.
Ingawa ukweli uliowazi ushirikina wa mwenge umeletwa na waislamu ndio walimshauri Nyerere kutumia ushirikina huu baada ya kupokea maagizo ya mizimu pale Bagamoyo.
Kwa bahati mbaya Sheikh Yahya Hussein ndio alikuwa mtu wa mwisho kufariki katika wale washirikina 6, waliokwenda Bagamoyo kwenye mbuyu kufanya tambiko na kuikabidhi Tanganyika mikononi mwa shetani, watu wameshindwa kumuhoji akiwa hai.
Walienda kuonana na shetani mapangoni bagamoyo wazo lilitolewa na magwiji wa fani ya ndumba na ulozi lengo ni kwenda kuomba jinsi ya kuwaondoa wazungu, shetani akawaambia SAwa uhuru mtapata lakini sharti muwe masikini wale wazee wakakubali ndo shetani akawapa mwenge, mmoja wa wazee akatolewa kafara humo humo. Ndio asili ya mwenge na umasikini wa nchi. Na mikoa yote iliyofanya matambiko watu wake uwezo wao wa kufikiri upo chini sana na hawatokuwa na maendeleo japo raslimali kedekede, Lindi, Pwani, Tanga, Tabora. Hii nchi inatakiwa iwe formated upya ya kuvunja Laana zote.
Tuendelee kuwa masikini kupitia tozzoItakuaje wakati mama kashaenda kutambika na amepewa uchifu
Hivi wale masheikh au maustaadhi hana ajira yoyote rasmi na ana wake Wawili hadi watatu wazuri tu na hawachepuki na wote heshima na adabu, huwa wanatumia teknolojia gani hawa?Wanaume warudi kwenye udikteta, Lakini mtu aliyesoma na anaesali ni ngumu kuwa dikteta
Anatumia technology ya diniHivi wale masheikh au maustaadhi hana ajira yoyote rasmi na ana wake Wawili hadi watatu wazuri tu na hawachepuki na wote heshima na adabu, huwa wanatumia teknolojia gani hawa?
Mkono wa chuma Ni muhimu kwny ndoaKisaikoloji Wanawake wanataka mwanaume dikteta, sasa dini na elimu ukiwa navyo huwezi kuwa dikteta. Wanaume madikteta wake zao wamenyooka kwenye reli awaleti hata fyoko, tofauti na sisi madiplomatic. Ukiwa diplomatic uwe na pesa utasumbuliwa usiwe nayo utasumbuliwa pia.
Kelsea unasemwa huku 🤣🤣🤣🤣🤣Ndoa zimekua kama fashion,
Sikuhizi Watu hawaoani kwasababu ya upendo.
Wanaume tunao kwasababu mrembo ana chura, mwanamke anaolewa sababu umri umeenda,ana hela, jamaa Ni mrefu na mweusi
Matokeo yake Hakuna chemistry Kati ya wanandoa, Ndoa zimekua uwanja wa mapambano,mabishano na kutunishiana misuli.
Hasa Kama
wanandoa wote wanaingiza miambili miambili, inakua vile UTANAMBIA NINI
Jiwe alisoma na Alikua anasali Sana pale st.peters . Ila bado alkua dikteta[emoji4]Wanaume warudi kwenye udikteta, Lakini mtu aliyesoma na anaesali ni ngumu kuwa dikteta
Kusali na kumjua MUNGU ni vitu viwili tofauti.Ukimjua Mungu huwezi kuwa diktetaJiwe alisoma na Alikua anasali Sana pale st.peters . Ila bado alkua dikteta[emoji4]
Hasa kwa watu wasio na akiliMkono wa chuma Ni muhimu kwny ndoa
Hivi wale masheikh au maustaadhi hana ajira yoyote rasmi na ana wake Wawili hadi watatu wazuri tu na hawachepuki na wote heshima na adabu, huwa wanatumia teknolojia gani hawa?
Umeongea point sana.Kisaikoloji Wanawake wanataka mwanaume dikteta, sasa dini na elimu ukiwa navyo huwezi kuwa dikteta. Wanaume madikteta wake zao wamenyooka kwenye reli awaleti hata fyoko, tofauti na sisi madiplomatic. Ukiwa diplomatic uwe na pesa utasumbuliwa usiwe nayo utasumbuliwa pia.