Ni mambo ma.3 tu yaletayo ushindi vitani!; Uchumi, Silaha, Siasa Makini!
Hizo ni takwimu zilizozingatiwa na nguvu za silaha na budget ya ulinzi, ukubwa wa jeshi na vifaa gani wanavyo kwa mfano angani, baharini, na nchi kavu na sio nguvu ya kupigana
Takwimu na za CIA. Egypt inaongoza duniani kwa bajeti ya ulinzi na ukubwa wa jeshi
mkuu Ethiopia wana flight 56 jumla kati ya izo 4 ni 787 dream liner na hazitengenezwi Addis Ababa zinanunuliwa nje..kwa Afrika ndio shirika linaloongoza kwa usafiri wa anga hata kaburu hatii mguu hapo..Ethiopian airlines.
Izo data zote n pumba tu,jesh letu linaheshimika ndan ad nje ya mipaka
Kutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.
Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya & Uganda.
1 Egypt PwrIndx: 0.6214
2 Algeria PwrIndx: 0.8695
3 South Africa PwrIndx: 0.9233
4 Nigeria PwrIndx: 1.1597
5 Ethiopia PwrIndx: 1.2009
6 Morocco PwrIndx: 1.2431
7 Tunisia PwrIndx: 1.4449
8 Kenya PwrIndx: 1.6835
9 Angola PwrIndx: 1.8579
10 Niger PwrIndx: 2.0079
11 Uganda PwrIndx: 2.3122
12 Chad PwrIndx: 2.3587
13 Zimbabwe PwrIndx: 2.3968
14 Ivory Coast PwrIndx: 2.4641
15 Democratic Republic of the Congo PwrIndx: 2.4897
16 Sudan PwrIndx: 2.5529
17 Ghana PwrIndx: 2.5913
18 Central African Republic PwrIndx: 2.6089
19 Namibia PwrIndx: 3.0909
20 Madagascar PwrIndx: 3.2231
21 Republic of the Congo PwrIndx: 3.2754
22 Gabon PwrIndx: 3.3889
23 Cameroon PwrIndx: 3.4577
24 Tanzania PwrIndx: 3.5526
25 South Sudan PwrIndx: 3.5782
26 Libya PwrIndx: 3.5828
27 Zambia PwrIndx: 3.6389
28 Mali PwrIndx: 3.7381
29 Mozambique PwrIndx: 3.8105
30 Somalia PwrIndx: 5.7116
African Powers Ranked by Military Strength - 2015
Hapo kwenye red mkuu si duniani bali ni Africa, ila ni Marekani then China ndizo nchi zenye budget kubwa za kijeshi kwa sasa.
huo ni upuuzi tu izo data za kinafiki azina mashiko hiyo nayo ni political propagandaKutokana na mazoezi ya ndege za kivita yanayoendelea siku za ivi karibuni, nilivutiwa kufatilia nguvu ya jeshi letu JWTZ Afrika.
Imeniuma sana kukuta jeshi letu linazidiwa nguvu na Kenya & Uganda.
===============================
African Powers Ranked by Military Strength - 2015
Hivyo basi kumaanisha UAE na QATAR wako juu ya Russia na Uchina kijeshi?
mimi nimekueleza biashara wanayofanya ethiopia na wazungu mambo ya jeshi haiingiliani na biashara yao mkuu. Goggle nyambizi kubwa waliotengeneza warusi inayoweza kutoka nchi kavu kutoka baharini km 10 ikiwa imesheni ndege za kivita,grenade na magari, mambo ya siraha za kijeshi ni siri za kila nchi sio wazi kama watu wanavyotaka tuamini ila mataifa makubwa wakigundua siraha toleo jipya wanatangaza na pia katika biashara na usalama wa nchi husika.
inaweza kuwa kweli, leo hii watu wazalendo wana kosa nafasi za kujiunga na jeshi
Yale mambumbumbu yanapewa nafasi.
mtu mwenye nia hapewi kabisa mpaka hongo
Je tutafika?
Hizo ni namba tu ambazo genge la "wahuni" limekaa likaamua kuandaa hizo takwimu..usifanye mchezo na jeshi letu! Nilikuwepo...
Hahaha nduguyangu sio mpira huohizo listi za kwenye madaftari tu, kama hao malofa wanajiweza waombe mechi za kirafiki na sisi
Samahani mkuu,unaweza kutoa specifics ya hiyo "nyambizi" ? Inaitwaje?
pumbafu kabisa, acha kuleta ufala katika mambo ya ulinzi na usalama. Kwanza hao wote uliowataja tumewashinda kwa uzalendo na moja pia.Tanzania tumezidiwa kila kitu kasoro unafiki tu kwasababu ya umbumbumbu wa serikali ya CCM.
Mleta uzi umetoka usingizini au si mtaz ww kwhyo unabeep kupata habari zetu tupa kule huo uzi