Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Umbea wao unawa-cost
Kwani kwao hakuna Corona au kiherehere kinawasumbu a kufatilia mambo ya Tanzania?

Nyang'au wana mambo ya ajabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.



Kenya ita retaliate itakua vituko sasa!

Mawe anaficha maradhi kifo lazima kimuumbue big time!
 
Mwngine huyu hapa kapewa kesi ya uhujumu uchumi[emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado wamekaa kimyaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du !! Ungejua kwanza tunawachoma sindano za siri tunazo zijua sisi tu

Send by APOLO 1
 
Unaongea utoto, Nenda Kakojoe ukakale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefika darasa la ngapi.??what are you smoking??9
 
Ukijua kinacho wakuta uwezi waita majasiri maana hata wenyewe wameshajijua ni mafara """ watajua wao siyo majasiri """

Send by APOLO 1
 
Good ....now you are talking ....mind your own business ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…