Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Umbea wao unawa-costTanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.
acaDuh! Miaka kama kumi hivi hapa Kenya
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa.
We ulijuaje km sio hzo medias za kenya[emoji23][emoji23][emoji23] hata aibu hunasafi sana ukosefu wa umeme, floods, kuvunjiwa nyumba kuko Kunyaland na hawaripoti, wanafuata nn huku?
Hahaaa!!akili za kuambiwa changanya na zako[emoji23][emoji23]Aibu gani wakati karibia wagonjwa wote waliyoko karantini wanakaribia kupona na watalii washajaza ndege Tayari kwa kuja kutalii mwezi wa nane.yaani hali ni nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliwa kiboga ndio kufanyiwa nini?
wanawagonga tena kwa sababubza kipuuzi.We MK254 siku hizi mapolisi wameacha kuwararua mijeledi huko Kunya-Land?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwngine huyu hapa kapewa kesi ya uhujumu uchumi[emoji23][emoji23][emoji23]Mngekua mnapiga kelele hivi,
1. Maxence Mello hangehangaishwa na serikali yenu CCMu.
2. Mr Gwanda (a Mwananchi Communications Limited correspondent) was abducted in November 2017 na hajapatikana Hadi sasa tena mwanahabari ishara tosha kuwa mnaishi Nchi Haina Uhuru wa kujieleza.
3. JF haingefungwa Kama ilivyofanyika hapo awali na wengi wenu tukawakaribisha Land of the FREE Kenyatallk na kuwawekea sehemu ya Tanzania Kama mandugu.
Kuwakamata wanahabari ni jinsi moja ya kuzuia ukweli kufichuliwa. Bahati walionayo hao wanahabari ni kuwa wanajulikana ni wakenya la sivyo wangepotezwa Kama Mr. Gwanda.
Yaonyesha unapenda sana ishu za kupigwa ndogo..Enhee wewe sasa ndio umeijulia Tz. Ushaliwa kiboga ndo maana. Anyone else from Kunya would like to share experience too? Thank you MK254 for sharing this!
Sent using Jamii Forums mobile app
nope i got from Kenya power twitter handle!We ulijuaje km sio hzo medias za kenya[emoji23][emoji23][emoji23] hata aibu huna
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nope i got from Kenya power twitter handle!
Du !! Ungejua kwanza tunawachoma sindano za siri tunazo zijua sisi tuAfadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.
Unaongea utoto, Nenda Kakojoe ukakaleAfadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.
Umefika darasa la ngapi.??what are you smoking??9Afadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.
Ukijua kinacho wakuta uwezi waita majasiri maana hata wenyewe wameshajijua ni mafara """ watajua wao siyo majasiri """Ndio maana nimewaona wajasiri, hao wanahabari ni kama umkute huyu kwenye hii picha akiwa kwenye hali hii halafu unajifanya kiherehere cha kutaka kumsaidia, kwanza hapo atakutia makucha yaani hata kumshika ni shughuli.....wafanyeni mtakalo, kwa sasa Tz kwa hasira zenu na balaa ya kuogelea kwenye corona mbaki hivyo hivyo huko...
Good ....now you are talking ....mind your own business ..Mkenya ambaye atajifanya hadi sasa haijui Tanzania ilivyo atakua na matatizo, kwanza kwa awamu hii, ina maana wanahabari hawakumbuki jamaa aliyekimbilia huku kama ameliwa risasi 38, yule anaitwa Tundu Lissu. Halafu hiyo ndio nchi unakwenda kuhoji hoji.
Watz waachwe wlivyo watajauana wenyewe, ikitokea una shughuli lazima uende kwao huko, jitie ububu kabisa, wala hata usitazame taarifa zao za habari maana utajikuta unaongea kuzihusu maana wengi hatujazoea wanachopitia, utajisahau udhani uko kwenye nchi yenye uhuru kama kwetu.
Piga kimya, shughulika na issues zako kisha geuza mara moja, kama vipi agiza magazeti ya Kenya, yapo yanauzwa huko.