Tupambane mpwa, tuombe na uzimaMimi simo katika hiyo orodha, Mimi ni nani? Aisee wacha tupambane wapwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh safi Sana'a.Labda 2023
So Kenya millionaires imeshuka kutoka 8500(2013) Hadi 2k (2019?)hii ripoti haimake senseMkenya mwenzenu amewachambulia nyie endeleeni tu kusema 'anomalies' Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires : The Standard
Report zijazo mtarudi kwenye 8500 nadhan kwa mwaka huu Wamepitiwa [emoji4][emoji4]So Kenya millionaires imeshuka kutoka 8500(2013) Hadi 2k (2019?)hii ripoti haimake sense
Sent using Jamii Forums mobile app
Haimeki sense kwako na baadhi ya Kibera dwellers, lakini kwa Knight Frank ambao ni International credible and professional company kwao ina make sense, wewe endelea kulia lakini dunia yote inajua kwamba Tanzania ina mataji mara mbili zaidi ya KenyaSo Kenya millionaires imeshuka kutoka 8500(2013) Hadi 2k (2019?)hii ripoti haimake sense
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaa!!uko desperate hadi unatetea ujinga, maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haimeki sense kwako na baadhi ya Kibera dwellers, lakini kwa Knight Frank ambao ni International credible and professional company kwao ina make sense, wewe endelea kulia lakini dunia yote inajua kwamba Tanzania ina mataji mara mbili zaidi ya Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya wenzako wootee kina Kafrican Nicxie MK254 pingli-nywee Depay wote walipita hii stage salama japo wanamakovu na ss hv wapo kwenye Negotiation stage umebaki pekeako kwny Denial stage na ukijiendekeza ukaendelea kubaki hapa utafunga account jf we shauri yako.Bwahahaa!!uko desperate hadi unatetea ujinga, maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Report zijazo mtarudi kwenye 8500 nadhan kwa mwaka huu Wamepitiwa [emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unatapatapa, nilifikiria utakuja na kitu cha maana..Wakenya wenzako wootee kina Kafrican Nicxie MK254 pingli-nywee Depay wote walipita hii stage salama japo wanamakovu na ss hv wapo kwenye Negotiation stage umebaki pekeako kwny Denial stage na ukijiendekeza ukaendelea kubaki hapa utafunga account jf we shauri yako.
Bado unatapatapa, nilifikiria utakuja na kitu cha maana..
Heri urudi katika jukwaa la sisa ukamchangishie mbowe na wenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo kwenye raiti traki, hii ni awamu ya kukusanya hela...Hivi kwa akina Mbowe kuchangisha hela ina maana wamekubaliana na mashtaka na kwamba wako hatiani. Hii Afrika kwa kweli bado sana, shitholes kila mahali, ila mengine wacha tuyaskie huko kwa majirani maana yakitendeka kwetu hapa sijui kama nchi itakalika, Wakenya huwa hatuvumilii upumbavu wa namna hii.
Juzi tumeona mwanaharakati Kabendera na wengine pia wamekiri mashtaka na kusamehewa kwa kutoa hela, aidha itakua Bongo wanasiasa wa upinzani na wanaharakati ni matapeli watupu na makajanja wa mjini au uongozi wa sasa umeamua kukandamiza upinzani kabisa mpaka asibaki hata mmoja mwenye kuhoji chochote.
Tupo kwenye raiti traki, hii ni awamu ya kukusanya hela...