Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hao jamaa acha , elimu mpaka uwe na jina la kikristo enzi hizo ndio maana wakristo jina ni weng ..Hawa jamaa walikataa waislamu wasisome ..Nyerere alishindwa kabisa kuibadili zenji ndio akaanza majungu .NIMEONA HUMU WAKIRISTO WANALALAMA KUWA WAISLAMU NI WABAGUZI. ILA KIUHALISIA WAKIRISTO NI WABINAFSI NA WABAGUZI KWENYE AJIRA ! WAKIWA WASAHILI NI WAKIRISTO ASILIMIA ZOTE HUWA WANAWEKANA WAO KWA WAO HATA KAMA HAWAKUOMBA WATAPIGIANA SIMU! WAGALATIA KWENYE UBAGUZI NIMEWAVULIA KOFIA ,MNATISHA WAZEE WANGU
Unaongea vinini hivi!.Hao jamaa acha , elimu mpaka uwe na jina la kikristo enzi hizo ndio maana wakristo jina ni weng ..Hawa jamaa walikataa waislamu wasisome ..Nyerere alishindwa kabisa kuibadili zenji ndio akaanza majungu .
Kamuulize baba yako kama huelewi!/Unaongea vinini hivi!.
Sawa mr kobanzi.Kamuulize baba yako kama huelewi!/
Mpakwa mafuta kama umeelewa ni vizuri .Sawa mr kobanzi.
Taifa la kislum! Au aujui?.tImu ya Mpira ya Misri Kuna kashfa kwamba ukiwa mkristo,hauitwi
Ulipoitaja Zanzibar, nimekubaliana nawe kabisa. Aisee wale jamaa Wana Roho ya kwanini! Ni wabaguzi hakuna mfano.
Hiki kisiwa washukuru sana huu Muungano. Wangesha mwaga damu ya kutosha.
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Na sababu kubwa ni kwamba Uislam sio dini tu, upande mwengine ni mfumo wa kisiasa !! Nchi ikishajaa waislam basi uislam unaingia kwenye sheria za nchi zifatwe hata kwa wasio waislam, idadi ya waislam huongezeka kwa kasi ya ajabu sababu imani zingine hupitia manyanyaso makali, vitisho mpaka mauaji (rejea Nchi nyingi za kiislam) hivyo hulazimika kubadili dini.
Nchi kama Ghana, Tanzania, Kenya, Zambia, Rwanda, Uganda, Zaimbabwe, Botswana, Namibia, n.k. zinasifika kwa amani na ukiangalia kitu kinachochangia zaidi ni kwamba nchi hizi ni secular counries zina sheria za usawa kwa dini zote. na hata ukienda nchi zenye vita ila kuna wakristo wengi kama Congo, bado kuna uhuru wa imani, waislam hawanyanyaswi.
Nchi ya Senegal imejaa waislam ila kuna amani, unajua kwanini ? asilimia 97% ni wasilam lakini wamekataa uislam kuingia kwenye siasa za nchi, hakuna ukandamizaji wa dini zingine, wakristo wanaabudu kwa uhuru, waislam wanasherekea nao christmas, wakristo wana uhuru wa kujenga makanisa, waislam wana uhuru wa kubadili dini kuwa wakristo, kwenye Ramadhan wakristo wanaweza kula hadharani, ni kawaida wakristo wanapewa vyeo, n.k. Nchi inaongozwa kwa sheria zinazojali imani tofauti.
Ukienda nchi kama Algeria, Misri, Nigeria, Somalia, Sudan, Eritrea, Libya, n.k. unakuta kuna waislam wengi tayari uislam unakuwa umeiingizwa kwenye mfumo wa siasa, kunakuwa hakuna uvumilvu wa imani zingine, nchi hizi wakristo hubaguliwa, hunyanyaswa, kuuliwa, n.k.
Hata hapo kwa majirani zetu Zanzibar japo tupo kwenye muungano wakristo hawana uhuru sababu serikali imeingiza siasa za kiislam, ikifika Ramadhan utalazimishwa kufuata sheria za kidini kwa kivuli cha utamaduni, kupewa kibali cha kujenga kanisa utapigwa chenga nyingi, makanisa yanabomolewa, n.k.
Hata Tanzania wangekuwa wengi kungekuwa na manyanyaso kama Zanzibar,hakika Yesu akiwepo katika nchi amani inatawala.
Ww hujatembea mi mikoa ya Kanda ya ziwa,Kule waislamu ni wachache sanaNimeishi na kutembelea mikoa mbalimbali hakuna sehemu ina wakristo tu au useme wapo wengi sana kuliko wengine,kweli idadi inapishana sehemu na seheme lakini kwa ujumla huwezi Wakristo ni wengi kuliko Waislamu Tanzania hii.
TrueWe wapwani bira shaka! Embu sogea mikoa mingine yaani utamaliza siku ujaona ijabu.
Hilo ni Neno,vitendo je?Nabisha, Islam means PEACE, dini ya amani.
Ulongo mtupu,hakuna mtu bara anabaguliwa kwa dini yake,kama siyo taqiya lete ushahidi.Mimi ni wa bara lakini humu wengi wenu hamjui kinachoendelea kwenye ofisi za serikali, waislamu tunabaguliwa, tunadhulumika, ni ubaguzi ubaguzi. Na ndio maana yanakufa vifo vibaya.
kaa ivo ivo!!I am sure mimi ni mkristo mzuri kuliko wewe mtoa mada ila nashauri uzi kama hizi hazifai.
Hizi hazijengi zinabomoa kabisa!
Mko wachache,hata sensa iliyojumuisha kipengele Cha dini iliyonyesha waislamu ni "minority" ukitaka ushahidi ntakupahivi kwanini munapenda kulazimisha kuonekanwa kuwa wakristo ni wengi kukiko waislamu hap nchini? sasa mbona mukiambiwa tuhisabiwe kwenye sensa munagoma?