Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

NIMEONA HUMU WAKIRISTO WANALALAMA KUWA WAISLAMU NI WABAGUZI. ILA KIUHALISIA WAKIRISTO NI WABINAFSI NA WABAGUZI KWENYE AJIRA ! WAKIWA WASAHILI NI WAKIRISTO ASILIMIA ZOTE HUWA WANAWEKANA WAO KWA WAO HATA KAMA HAWAKUOMBA WATAPIGIANA SIMU! WAGALATIA KWENYE UBAGUZI NIMEWAVULIA KOFIA ,MNATISHA WAZEE WANGU
Hao jamaa acha , elimu mpaka uwe na jina la kikristo enzi hizo ndio maana wakristo jina ni weng ..Hawa jamaa walikataa waislamu wasisome ..Nyerere alishindwa kabisa kuibadili zenji ndio akaanza majungu .
 
Ulipoitaja Zanzibar, nimekubaliana nawe kabisa. Aisee wale jamaa Wana Roho ya kwanini! Ni wabaguzi hakuna mfano.

Hiki kisiwa washukuru sana huu Muungano. Wangesha mwaga damu ya kutosha.

Ingia maofisi ya serikali, tena ukute wakristo ndio ni wengi, aise muislamu atadhulumika sana. Ila kati ya wakristo 10 basi mmoja ni best.
 
Na sababu kubwa ni kwamba Uislam sio dini tu, upande mwengine ni mfumo wa kisiasa !! Nchi ikishajaa waislam basi uislam unaingia kwenye sheria za nchi zifatwe hata kwa wasio waislam, idadi ya waislam huongezeka kwa kasi ya ajabu sababu imani zingine hupitia manyanyaso makali, vitisho mpaka mauaji (rejea Nchi nyingi za kiislam) hivyo hulazimika kubadili dini.

Nchi kama Ghana, Tanzania, Kenya, Zambia, Rwanda, Uganda, Zaimbabwe, Botswana, Namibia, n.k. zinasifika kwa amani na ukiangalia kitu kinachochangia zaidi ni kwamba nchi hizi ni secular counries zina sheria za usawa kwa dini zote. na hata ukienda nchi zenye vita ila kuna wakristo wengi kama Congo, bado kuna uhuru wa imani, waislam hawanyanyaswi.

Nchi ya Senegal imejaa waislam ila kuna amani, unajua kwanini ? asilimia 97% ni wasilam lakini wamekataa uislam kuingia kwenye siasa za nchi, hakuna ukandamizaji wa dini zingine, wakristo wanaabudu kwa uhuru, waislam wanasherekea nao christmas, wakristo wana uhuru wa kujenga makanisa, waislam wana uhuru wa kubadili dini kuwa wakristo, kwenye Ramadhan wakristo wanaweza kula hadharani, ni kawaida wakristo wanapewa vyeo, n.k. Nchi inaongozwa kwa sheria zinazojali imani tofauti.

Ukienda nchi kama Algeria, Misri, Nigeria, Somalia, Sudan, Eritrea, Libya, n.k. unakuta kuna waislam wengi tayari uislam unakuwa umeiingizwa kwenye mfumo wa siasa, kunakuwa hakuna uvumilvu wa imani zingine, nchi hizi wakristo hubaguliwa, hunyanyaswa, kuuliwa, n.k.

Hata hapo kwa majirani zetu Zanzibar japo tupo kwenye muungano wakristo hawana uhuru sababu serikali imeingiza siasa za kiislam, ikifika Ramadhan utalazimishwa kufuata sheria za kidini kwa kivuli cha utamaduni, kupewa kibali cha kujenga kanisa utapigwa chenga nyingi, makanisa yanabomolewa, n.k.
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.

Tanzania ni secular state. Haina dini. Sheria za kidini haziwezi kuingizwa kwenye Sheria za nchi.

Naomba kuwasilisha🙏
 
Ukweli lazima usemwe,ww Pinga Kwa facts kama yy!
 
Hata Tanzania wangekuwa wengi kungekuwa na manyanyaso kama Zanzibar,hakika Yesu akiwepo katika nchi amani inatawala.

Mimi ni wa bara lakini humu wengi wenu hamjui kinachoendelea kwenye ofisi za serikali, waislamu tunabaguliwa, tunadhulumika, ni ubaguzi ubaguzi. Na ndio maana yanakufa vifo vibaya.
 
Nimeishi na kutembelea mikoa mbalimbali hakuna sehemu ina wakristo tu au useme wapo wengi sana kuliko wengine,kweli idadi inapishana sehemu na seheme lakini kwa ujumla huwezi Wakristo ni wengi kuliko Waislamu Tanzania hii.
Ww hujatembea mi mikoa ya Kanda ya ziwa,Kule waislamu ni wachache sana
 
Tushukuru Tanzania wakristo ni wengi,tungekoma kama waislamu wangetuzidi idadi,hata kwenye jamii tu Huwa ni wabaguzi sana.
 
Mimi ni wa bara lakini humu wengi wenu hamjui kinachoendelea kwenye ofisi za serikali, waislamu tunabaguliwa, tunadhulumika, ni ubaguzi ubaguzi. Na ndio maana yanakufa vifo vibaya.
Ulongo mtupu,hakuna mtu bara anabaguliwa kwa dini yake,kama siyo taqiya lete ushahidi.
 
hivi kwanini munapenda kulazimisha kuonekanwa kuwa wakristo ni wengi kukiko waislamu hap nchini? sasa mbona mukiambiwa tuhisabiwe kwenye sensa munagoma?
Mko wachache,hata sensa iliyojumuisha kipengele Cha dini iliyonyesha waislamu ni "minority" ukitaka ushahidi ntakupa
 
Back
Top Bottom