Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Hilo ni Neno,vitendo je?
Wanaoa watu, wana oa watoto wadogo, wanao oa mke zaidi ya mmoja ni watu wenye majina yanayofanania uislamu lakini mwenye dini hawezi fanya tendo kishetani hata siku moja.
 
Kwa hiyo ww kwako mtu asipo kuwa muislam basi ni mkrisito?
%90 ya wasukuma ni wapagani hawaamini katika dini yeyote.
Kwa makabila hayo mengine sijui lakini kwa wasukuma umesema uongo.
 
Hao jamaa acha , elimu mpaka uwe na jina la kikristo enzi hizo ndio maana wakristo jina ni weng ..Hawa jamaa walikataa waislamu wasisome ..Nyerere alishindwa kabisa kuibadili zenji ndio akaanza majungu .
Uongo,ukweli ni kwamba,wamissionari walijenga shule nyingi ila waarabu wakajenga misikiti na madrasa,waislamu wakakataa kujiunga kwenye shule za 'makafiri' wasije lishwa nguruwe matokeo yake wakristo wakawa wasomi kuliko waislamu.ndio maana hakuna shule iliyojengwa wala chuo chochote na waarabu!
 
😀 😀Acha uongo lazima uwe mkristo ndio usome , muulize Baba yake january Makamba ?

Walikuwa wabaguzi kabisa lazima uwe mgalatia ndio usome.

Waarabu ni wapita njia hawana sasa hao wakoloni walikuwa na uongozi wa taifa kabisa .
 
Ww hujatembea mi mikoa ya Kanda ya ziwa,Kule waislamu ni wachache sana
Asilimia 70 ya watu wanao unda kanda ya ziwa ni wasukuma na asilimia kubwa ya wasukuma sio watu wakuamini kwenye dini .
Au ww mtu asipo kuwa muislam basi ni mkrisito?
 
😀 😀Acha uongo lazima uwe mkristo ndio usome , muulize Baba yake january Makamba ?

Walikuwa wabaguzi kabisa lazima uwe mgalatia ndio usome.

Waarabu ni wapita njia hawana sasa hao wakoloni walikuwa na uongozi wa taifa kabisa .
Nani aliwabagua?
 
Tanzania kati ya Wakristo na Waislamu hakuna wakujidai kwamba wao ndiyo wengi kushinda wenzake,wakristo wamekuwa wakitengeneza mazingira ionekane Tanzania ni nchi ya Kikristo, mshindwe.
Basi Tanzania ni nchi ya kiislamu. Umefaidika nini sasa hapo.
 
Asilimia 70 ya watu wanao unda kanda ya ziwa ni wasukuma na asilimia kubwa ya wasukuma sio watu wakuamini kwenye dini .
Au ww mtu asipo kuwa muislam basi ni mkrisito?
Unataka uniambie Mikoa ya Kagera na mara Ina watu wachache kuliko wasukuma? Unataka kusema 90% ya wasukuma hawana dini?
 
Walitaka tuwe wagalatia kwa lazima
Leta ushahidi,ukweli ni kwamba nyinyi mlichagua kusoma kiarabu na kwenda madrasa badala ya kusoma,matokeo yake mnatualamikia Kwa chaguzi yenu. Kwanini hamkumwambia aliyewaletea misikiti pia awaletee elimu Dunia?
 
Unataka uniambie Mikoa ya Kagera na mara Ina watu wachache kuliko wasukuma? Unataka kusema 90% ya wasukuma hawana dini?
Kati ya mikoa 5 ya kanda ya ziwa mikoa 3 wanaishi wasukuma, tena na mkoa wa kagera baadhi ya wilaya zake kumejaa wasukuma.
Tena hizo %90 wenda umewapendelea, wasukuma wanao amini mambo ya dini wapo mijini na bado na penyewe ni wachache.
Huko vijijini ndo kabisa unaweza kuta kijiji kizima wanaosali hawafiki hata watu 6 na wenyewe jamii huwa inawaona kama watu wajinga na walio kosa kazi za kufanya.

Alafu pia kati ya mikoa yenye waisilam wengi hapa Tz ni mkoa wa kagera.
 
Mimi ni wa bara lakini humu wengi wenu hamjui kinachoendelea kwenye ofisi za serikali, waislamu tunabaguliwa, tunadhulumika, ni ubaguzi ubaguzi. Na ndio maana yanakufa vifo vibaya.
Waislamu mnadhulumiwaje?

Hamlipwi overtime wanalipwa wakristo tu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…