Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Wanaoa watu, wana oa watoto wadogo, wanao oa mke zaidi ya mmoja ni watu wenye majina yanayofanania uislamu lakini mwenye dini hawezi fanya tendo kishetani hata siku moja.Hilo ni Neno,vitendo je?