Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

Na wajinga zaidi ni CHADEMA ambao wakihongwa na karamagi wa tics wanashirikiana na maaskofu wa kihaya kukataa uwekezaji wenye tija kubwa sana na taifa.
 
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.
 
Kuendelea kuwepo kwa ccm miaka yote pia ni matokeo ya ujinga na sio kupendwa
 
Na mmemalizia ujinga wenu kwa kuuza Bandari..
Laana nyinyi..
 
Uko sahihi mkuu, hata wajinga wanadhani wanaweza kuongoza, wanatumia wizi wa kura ili waongoze, matokeo yake tunayona sasa

Nimefurahi mpaka sasa hoja yangu hujaipinga, adui yetu ni ujinga.

Huo wa "kuibiwa" kura chaguzi zote na mahakama zipo, za kitaifa na kimataifa, na wanasheria unao huzitumii. Au huwaamini wanasheria wako kwa ujinga wako au wao?
 
Ujinga ni adui Kwa Watanzania wanaojitambua, lakini ujinga ni rafiki mkubwa wa CCM.
Ni vyema kuwa umeunga mkono hoja yangu, adui yetu mkuu na wa pekee ni ujinga.


Sasa jifikirie wewe unaeongozwa na serikali ya wajinga, tukuiteje? Mjinga wa wajinga? au Siyo?
 
Kuona mtu ni Bora kuliko mwingine nayo ni ujinga au Kuona dini Moja (ambayo umeikuta) ni Bora kuliko nyingine ( ambayo nayo umeikuta ) ni ujinga pia
 
Nimefurahi mpaka sasa hoja yangu hujaipinga, adui yetu ni ujinga.

Huo wa "kuibiwa" kura chaguzi zote na mahakama zipo, za kitaifa na kimataifa, na wanasheria unao huzitumii. Au huwaamini wanasheria wako kwa ujinga wako au wao?
Majaji wanaoteuliwa na wajinga utawaamini?
 
Ccm ndio baba na mlezi wa huo ujinga.
 
Mfumo wa kutoa watu ujinga umekuwa chanzo cha kuongeza kiwango cha ujinga, mtu akiwa na Elimu kubwa anazidi kuwa mjinga zaidi, basi tuu ni ujinga ujinga, ndomana uzi huu ni wa kijinga na mawazo yangu ni yakijinga pia, ili mradi tuu ujinga
 
Ukonga ndo kama serikali ya awamu hii kusaini mkataba wa kimangungo na DP world
 
Usituamshe tuliolala ujinga wetu Wananchi ndio mtaji mkubwa wa Walanchi, Sote tungekuwa tumeelimika Walanchi wangetupata wapi sisi kina "Ndiyo Mzee"
Ujinga hoyeeee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…