KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 459
Kuna baadhi ya mambo yanahitaji hekima kubwa saana katika kuyaamua, hayako kama wengi tunavyoyaona,
Kwenye hili suala la mzozo wa Ukraine na urusi nyuma ya Hawa Kuna mengi saana yanaendelea bila ya wengi kujua.
Watu wanahitaji washirika na uungwaji mkono kwenye kuhalalisha baadhi ya mambo kwa maslahi yao mbaya zaidi wanaomia Ni watu.
Katika suala hili binafsi naona Ni vyema nchi yetu kutoegemea kokote kama ilivyofanya ili kuendelea kuusoma mchezo wa huu mgogoro.
Watu wanacheza na akili za watu wengine hapa kwa lengo la kumpandisha au kumshusha mwingine kwenye nguvu ya dunia.
Sikuzote kwenye mtego wa mvuvi aumiae Ni chambo, wewe shuhuda ukiwa kimbelembele yatakukuta ambayo sio yako.
Hi Vita ingekuwa imeisha mapema saana kama Ni kweli wanaopigana mi Ukraine na urusi ila kiukweli naamin mambo hayako hivo na ndio maana inadumu mpaka kesho.
Suala la nchi nchi yetu kutokuwa na msimamo sio kweli maana kwenye huu mchakato kulikuwa na misimamo mitatu ikiwemo kutoegemea upande wowote, kwahyo nchi yetu imeamua kuwa kwenye upande huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hili suala la mzozo wa Ukraine na urusi nyuma ya Hawa Kuna mengi saana yanaendelea bila ya wengi kujua.
Watu wanahitaji washirika na uungwaji mkono kwenye kuhalalisha baadhi ya mambo kwa maslahi yao mbaya zaidi wanaomia Ni watu.
Katika suala hili binafsi naona Ni vyema nchi yetu kutoegemea kokote kama ilivyofanya ili kuendelea kuusoma mchezo wa huu mgogoro.
Watu wanacheza na akili za watu wengine hapa kwa lengo la kumpandisha au kumshusha mwingine kwenye nguvu ya dunia.
Sikuzote kwenye mtego wa mvuvi aumiae Ni chambo, wewe shuhuda ukiwa kimbelembele yatakukuta ambayo sio yako.
Hi Vita ingekuwa imeisha mapema saana kama Ni kweli wanaopigana mi Ukraine na urusi ila kiukweli naamin mambo hayako hivo na ndio maana inadumu mpaka kesho.
Suala la nchi nchi yetu kutokuwa na msimamo sio kweli maana kwenye huu mchakato kulikuwa na misimamo mitatu ikiwemo kutoegemea upande wowote, kwahyo nchi yetu imeamua kuwa kwenye upande huu.
Sent using Jamii Forums mobile app